Ibra_Chabenz
Member
- May 27, 2019
- 20
- 15
Kila siku natafuta mtu aliyeko dar au Arusha,anayehiyaji kusambaza dagaa za Bukoba zisizo na mchanga. Eidha anunue yeye au atafute masoko Mimi nilete dagaa,kusafirisha ni juu yangu naleta mpaka sokoni tunauza alafu mi na wewe tunalipana alafu nasepa zangu.