Dagaa wa visiwa vya Bukoba

Dagaa wa visiwa vya Bukoba

Ibra_Chabenz

Member
Joined
May 27, 2019
Posts
20
Reaction score
15
Kila siku natafuta mtu aliyeko dar au Arusha,anayehiyaji kusambaza dagaa za Bukoba zisizo na mchanga. Eidha anunue yeye au atafute masoko Mimi nilete dagaa,kusafirisha ni juu yangu naleta mpaka sokoni tunauza alafu mi na wewe tunalipana alafu nasepa zangu.
 
Back
Top Bottom