Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
- Thread starter
- #101
Hamna kitu kama hiko mzee. Acha uoga Kula Mji mzee...!Until huyo dada wa kirangi akupige tukio ndo akili itakaa sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu kama hiko mzee. Acha uoga Kula Mji mzee...!Until huyo dada wa kirangi akupige tukio ndo akili itakaa sawa.
😂 😂 😂 😂Hovyooo ni wewe umeshalipewa limbwaata hujioni na sura mbaya kama manati ya fundi maiko ,unalisura baya ndio maana unawaona warangi wazuri warangi wamekomaa ukiwapiga na mawe hawasikii . Jinsi walivyokomaa
Haya ndo maneno sasa, nipasie na mie namba zao pmKuna baadhi nna namba zao wameweka profile pics ila sio vizuri kuwaweka mtandaoni
Wana hamu sana mkuuHivi kwa nini hawatoshekagi mkuu...?
Yani waambie kabisa na jirani zake wasicheke wala wasivae nguo fupiMbona wapo fresh tu Dada 'ake, nafkiri baadhi yao labda ndio wapo hivyo ila sio wote.
Ugonjwa wa wasukuma na jirani zao hata km we sio wa huko ila una ugonjwa huo huoAaaaaah wapi mi sio Msukuma aisee Mama Mzaramo Mshua Mndenge ni Pure Pwanist Dada 'ake. Ila hawa wa ukanda huu wana rangi flani hivi amazing sana.
😂😂Ugonjwa wa wasukuma na jirani zao hata km we sio wa huko ila una ugonjwa huo huo
Unique flowerHovyooo ni wewe umeshalipewa limbwaata hujioni na sura mbaya kama manati ya fundi maiko ,unalisura baya ndio maana unawaona warangi wazuri warangi wamekomaa ukiwapiga na mawe hawasikii . Jinsi walivyokomaa
Tu miguu na meno! Hiyo 100% umeitoa wapi?Yaan unamwagalia mdada mpaka unajiuliza huyu alizaliwa? Kila kitu kipo 100%
😁😁Tumiguuu!
Ndo hicho kimefanya uwasifie🤣Sio nimempata nimewapata aisee walaini sana hawa, ni kushika mkono tu twende hawajui kukataa mkuu.
Sawa mkuu.Wambulu ni wazuri zaidi kuliko warangi
Kumbe alikuwa na lake huyo jamaa...?Amang'ana muraa! 😂😂 Huu ni mtego Kuna kitu unaniwinda, kamwe.
Tena bila ya kuambiwa wala kujijua aisee. Lafudhi yao tamu sana hasa ukute anayejua kuinogesha, ukiwa umefumba macho unaweza ukasema kumbe gani hiki chenye sauti hii.Wana sauti nyororo sana lazima tu utoe password
Aaaaaah sidhani aisee.Hivi pana mwanamke wa kirangi mwenye sauti ya bass