Dah! Gospel ikipigwa Bar inanoga sana, sijajua sababu!


Yesu alikua mnywaji rejea bibilia kweny ile harusi yesu aliyohudhurias akakosa kileo akageuza maji yale kuwa mvinyo.
 
"Tumeuona mkono wako bwanaaa"ikipigwaa hii lazima watu wasimamee[emoji3]
Unakuta bia ishakolea unajiona uko heaven kabisa alafu ikipigwa utaona watu wanainua mikono juu wanaacha kubambia . Ila pombe bana dj akichanganya akapiga amapiano unaona mwana anarudi kukamatia kiuno hahahah
 
"Tumeuona mkono wako bwanaaa"ikipigwaa hii lazima watu wasimamee[emoji3]
Kuna siku ilipigwa hapo shivazi Ile bar ya picnic mie ndo Mara ya kwanza kuisikia acha bwana.yale madada ya picnic table Kama mnayajua yenye matako makubwa yakaanza kucheza kwa mduara yaani ilinogaje kinouma aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…