binafsi kaniulia mama yangu mdogo
na rafiki yangu Nobert
Wengi tunamjua kama babu
wa loliondo huyu tapeli, Kaua watanzania wengi kwa sumu(kikombe) lakini
ajabu serikali bado inamwangalia tu, binafsi kaniulia mama yangu mdogo
na rafiki yangu Nobert, sasa serikali imemshindwa au kwakua ni mkristo?
Mbona kina Ponda mmewashughulikia ila huyu muuaji anadunda tu
kitaa?
Wengi tunamjua kama babu wa loliondo huyu tapeli, Kaua watanzania wengi kwa sumu(kikombe) lakini ajabu serikali bado inamwangalia tu, binafsi kaniulia mama yangu mdogo na rafiki yangu Nobert, sasa serikali imemshindwa au kwakua ni mkristo? Mbona kina Ponda mmewashughulikia ila huyu muuaji anadunda tu kitaa?
Kwakua hayajakukuta poa ila dunia ni mimi na wewe kama mimi limenikuta basi na wewe lipo njiani si lazima kwahili ila hata lingine.walilazimishwa kunywa kikombe?
unaleta hoja za kipumbavu kabisa,unajua udini wewe?
hukujui mahakamani?kaua ndugu zako,nani akashitaki kama sio wewe?
kaseme msikitini kwenu.!msome albaadil.
Kwakua hayajakukuta poa
ila dunia ni mimi na wewe kama mimi limenikuta basi na wewe lipo njiani
si lazima kwahili ila hata lingine.
matatizo yananikuta,tena mengi tu.
ila kwa hayo ya kipuuzi hayanikuti.
Unadhani UKIMWI ungeweza kutibika kwa 500 tshs only?
Tatizo lako umeingiza na uislam wenu.
Mbona Shekh Ilunga anadunda, wewe ndo umemwona babu wa Loliondo ee! Babu si aliwaambia kilekikombe ni cha imani, sasa kama ndugu zako walikuwa hana imani walifuata nini.Wengi tunamjua kama babu wa loliondo huyu tapeli, Kaua watanzania wengi kwa sumu(kikombe) lakini ajabu serikali bado inamwangalia tu, binafsi kaniulia mama yangu mdogo na rafiki yangu Nobert, sasa serikali imemshindwa au kwakua ni mkristo? Mbona kina Ponda mmewashughulikia ila huyu muuaji anadunda tu kitaa?
Wengi tunamjua kama babu wa loliondo huyu tapeli, Kaua watanzania wengi kwa sumu(kikombe) lakini ajabu serikali bado inamwangalia tu, binafsi kaniulia mama yangu mdogo na rafiki yangu Nobert, sasa serikali imemshindwa au kwakua ni mkristo? Mbona kina Ponda mmewashughulikia ila huyu muuaji anadunda tu kitaa?
Wengi tunamjua kama babu wa loliondo huyu tapeli, Kaua watanzania wengi kwa sumu(kikombe) lakini ajabu serikali bado inamwangalia tu, binafsi kaniulia mama yangu mdogo na rafiki yangu Nobert, sasa serikali imemshindwa au kwakua ni mkristo? Mbona kina Ponda mmewashughulikia ila huyu muuaji anadunda tu kitaa?