Dah! hivi kwanini mchungaji Ambikile Mwaisapile asishtakiwe?

Dah! hivi kwanini mchungaji Ambikile Mwaisapile asishtakiwe?

Wengi tunamjua kama babu wa loliondo huyu tapeli, Kaua watanzania wengi kwa sumu(kikombe) lakini ajabu serikali bado inamwangalia tu, binafsi kaniulia mama yangu mdogo na rafiki yangu Nobert, sasa serikali imemshindwa au kwakua ni mkristo? Mbona kina Ponda mmewashughulikia ila huyu muuaji anadunda tu kitaa?

nadhani una matatizo yasiyotibika kwa kikombe hata kwa sindano.
nani kawalazimisha kunywa kikombe.?
Uislamu na ukristo umeupata wapi kwenye hili?
hili ni tendo la imani nenda mtoni ukaoge mara saba utaongeza hekima na busara kwa lolote utendalo na kuliwaza.
 
Wengi tunamjua kama babu wa loliondo huyu tapeli, Kaua watanzania wengi kwa sumu(kikombe) lakini ajabu serikali bado inamwangalia tu, binafsi kaniulia mama yangu mdogo na rafiki yangu Nobert, sasa serikali imemshindwa au kwakua ni mkristo? Mbona kina Ponda mmewashughulikia ila huyu muuaji anadunda tu kitaa?
chukua hatua nenda kafungue kesi, na ushahid uambatanishe, au unasubiri nani akusaidie kwenda kumshitaki??
 
kama angekuwa dini moja na shekh ponda wangekuwa washamwita GAIDI
 
Tuliandika humu-humu JF:

"Wajinga ndio waliwao".

Hamkutuelewa.
 
Binafsi nahisi ule ni usanii tu uliochezwa na babu kwani ule mti ni kweli ni dawa lakini sio na ukimwi .ila madhara ni mengi yametokea mojawapo ni uhalibifu wa mazingira.
 
Wengi tunamjua kama babu wa loliondo huyu tapeli, Kaua watanzania wengi kwa sumu(kikombe) lakini ajabu serikali bado inamwangalia tu, binafsi kaniulia mama yangu mdogo na rafiki yangu Nobert, sasa serikali imemshindwa au kwakua ni mkristo? Mbona kina Ponda mmewashughulikia ila huyu muuaji anadunda tu kitaa?
.Ww sio muislam na usitufitinishe na ndugu zetu wakikiristo. Muislam wa kweli mwenye imani thabit na mwnye kumjua mungu na mtume muhamad saw na mwenye kuamini kwa dhati hangeweza kwenda kutibiwa na babu wa loliondo kwa aina ile ya tiba.ww ni mtu umezaliwa tu na wazazi waislam. Nakushauri uusome uislam na uwamini uislam ukiujua huwezi kuandika upuuzi huu.
 
tukisema ukweli unakimbilia kwenye udini...nyie ndio mnaoruhusu ndoa za jinsia moja tukisema utasikia udini unawasumbua paka shume ww
jiulize why ushoga umeenea sana uislam ulipo mea sana, uzanzibar na mombasa :tinfoil3:
 
Ulimfuata mwenyewe

walilazimishwa kunywa kikombe?
unaleta hoja za kipumbavu kabisa,unajua udini wewe?
hukujui mahakamani?kaua ndugu zako,nani akashitaki kama sio wewe?
kaseme msikitini kwenu.!msome albaadil.

mlienda wenyewe kuna aliyelazishwa kwenda loliondo

There is a danger when a man like you throws his tongue into high speed before he gets his brain a-going. NONSENSE!

NAUNGA MKONO HOJA
Babu hakujitangaza kama wanavyojitangaza wengine kwani yeye amekuwa akitoa huduma kwa wateja tangu siku nyingi na kila aliekuwa anatoka anapeleka taarifa kwa wengine, na inaonyesha kulikuwa kuna ambao wanapata improvement na ndio maana ikatokea watu kibao wanakwenda kupata kikombe kwa kasi ya ajabu baada ya taarifa kuenea kwa kasi, kiukweli kuna ambao wamejiua wenyewe, just imagine mtu anakwenda kwa babu anapata kikombe alafu anarudi kusherehekea kwa kunywa pombe (assuming huyo mgonjwa alikuwa ana kisukari kipi kitakachotokea tena hapa). Babu hakuita mtu ila walijipeleka wenyewe na hakutoa matangazo yoyote zaidi ya ule utamaduni asilia wa kupeleka information (oral traditional)
 
Wengi tunamjua kama babu wa loliondo huyu tapeli, Kaua watanzania wengi kwa sumu(kikombe) lakini ajabu serikali bado inamwangalia tu, binafsi kaniulia mama yangu mdogo na rafiki yangu Nobert, sasa serikali imemshindwa au kwakua ni mkristo? Mbona kina Ponda mmewashughulikia ila huyu muuaji anadunda tu kitaa?
Kama ulikunywa kikombe na hukupona, kwani mahakamani hukujui?
Kafungue kesi, unamsubiri nani akufungulie!
 
Wengi tunamjua kama babu wa loliondo huyu tapeli, Kaua watanzania wengi kwa sumu(kikombe) lakini ajabu serikali bado inamwangalia tu, binafsi kaniulia mama yangu mdogo na rafiki yangu Nobert, sasa serikali imemshindwa au kwakua ni mkristo? Mbona kina Ponda mmewashughulikia ila huyu muuaji anadunda tu kitaa?

Volenti Non Fit Injuria
 
Ulikuwa na hoja nzuri sana ila ishu ya dini umeharibu ubora wa hoja yako
 
Mungu anasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
 
Wengi tunamjua kama babu wa loliondo huyu tapeli, Kaua watanzania wengi kwa sumu(kikombe) lakini ajabu serikali bado inamwangalia tu, binafsi kaniulia mama yangu mdogo na rafiki yangu Nobert, sasa serikali imemshindwa au kwakua ni mkristo? Mbona kina Ponda mmewashughulikia ila huyu muuaji anadunda tu kitaa?

Kwa mfano ungekuwa na mamlaka ungemshitaki kwa kosa na sheria ipi?
 
Back
Top Bottom