Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wale wagonjwa wanafia Muhimbili, bugando au hospitali yoyote, utawashitaki madaktari wa pale..???Wengi tunamjua kama babu wa loliondo huyu tapeli, Kaua watanzania wengi kwa sumu(kikombe) lakini ajabu serikali bado inamwangalia tu, binafsi kaniulia mama yangu mdogo na rafiki yangu Nobert, sasa serikali imemshindwa au kwakua ni mkristo? Mbona kina Ponda mmewashughulikia ila huyu muuaji anadunda tu kitaa?
Kwa ulichokiandika
kinadhihirisha jinsi gani akili zako zilivyoathilika na moshi wa mmea
ambao umechanganywa na haja kubwa. Huna hata chembe ya busara wewe! Na
siamini kama ushawahi kupatwa na matatizo kama unavyodai, tambua kwamba
mtu ukiwa unaumwa au unauguza huwezi kudharau tiba yoyote utakayoambiwa
na ikizingatiwa kwamba kile kizee kiuaji kilikuwa kimepata promo za
kutosha kama vile watu kujtangaza wamepona maradhi yao, hivi unadhani
mtu ambaye ameshahangaika sana ktk kuuguza au kuumwa unaweza kuzadharau
taarifa hizo bila kuzifanyia kazi? mtu mjinga sana wewe usiye na hata
chembe ya huruma kwa binaadamu wenzako!
Wengi tunamjua kama babu wa loliondo huyu tapeli, Kaua watanzania wengi kwa sumu(kikombe) lakini ajabu serikali bado inamwangalia tu, binafsi kaniulia mama yangu mdogo na rafiki yangu Nobert, sasa serikali imemshindwa au kwakua ni mkristo? Mbona kina Ponda mmewashughulikia ila huyu muuaji anadunda tu kitaa?
tambua kwamba
mtu ukiwa unaumwa au unauguza huwezi kudharau tiba yoyote utakayoambiwa
Kwakua hayajakukuta poa ila dunia ni mimi na wewe kama mimi limenikuta basi na wewe lipo njiani si lazima kwahili ila hata lingine.
Muulize huyo mleta hiyo thread, kama kikombe cha babu kilikuwa ni sumu, inawezekanaje watu wengi waliokunywa kikombe hicho, wakiwemo watu wengi maarufu katika jamii yetu, kama akina Lukuvi, Mrema, Ndesamburo, Lowassa, Pinda, Magufuli na wengine wengi tu, wawe wanadunda hadi leo, kama babu wa Lolondo aliwanywesha kikombe chenye sumu?!!!!hivi kunadawa inaponya kifo????????? Utafiti wako wa kuiita "sumu" umefanyia maabara ipi na majibu yako wapi?? Hakuna waliokunywa na bado wanaishi, hao unawasemeaje?? Babu na Ponda wanafanana kwa lipi??
upo sawa mi mamangu alienda hawezi tembea amepooza sasa anatembea na anafanya kazi zake bila wasiwasi sababu ya kikombe imani yako itakuponya. Yesu alikua akisema hivi imani yako imekuponya.kuna watu wengi sana walipona ,na wengi pia walikufa. hata hospitalini hawaponi wote ndo mana kuna mochwari za kuhifadhi maiti. alitoa tahadhari watu waendelee kutumia dawa zao za awali kwa sababu si wote wenye imani ya kuwawezesha kupona. uponyaji haukuwa kwny kikombe bali uko ndani ya mtu. kikombe ni kama magongo anayotumia mlemavu:mtu ndiye anayeamua aelekee wapi sio magongo. magongo ni support tu ya kumsaidia. imani ya mtu ndani yake ndiyo inayomponya. babu alikua anachochea tu imani za watu ili ziwaponye! hata issah au yeshua au jesus au yesu alitema mate chini akatengeneza tope na kumpaka kipofu kisha akaona baada ya kwenda kunawa. Sasa tujiulize dawa ilikua ni tope au mate au maji alokwenda kunawa? Kwa kifupi dawa ilikua ni imani ya bwana yesu iliyogundua udhaifu wa imani ya yule kipofu isiyoweza kufanya kazi mpaka ipewe support ya kushika. Babu hana kosa atakuja kukumbukwa kama shujaa,hata mandela alikua shujaa japo watu wengi walikufa ktk kutengeneza ushujaa wake.