Wengi tunamjua kama babu wa loliondo huyu tapeli, Kaua watanzania wengi kwa sumu(kikombe) lakini ajabu serikali bado inamwangalia tu, binafsi kaniulia mama yangu mdogo na rafiki yangu Nobert, sasa serikali imemshindwa au kwakua ni mkristo? Mbona kina Ponda mmewashughulikia ila huyu muuaji anadunda tu kitaa?
chukua hatua nenda kafungue kesi, na ushahid uambatanishe, au unasubiri nani akusaidie kwenda kumshitaki??Wengi tunamjua kama babu wa loliondo huyu tapeli, Kaua watanzania wengi kwa sumu(kikombe) lakini ajabu serikali bado inamwangalia tu, binafsi kaniulia mama yangu mdogo na rafiki yangu Nobert, sasa serikali imemshindwa au kwakua ni mkristo? Mbona kina Ponda mmewashughulikia ila huyu muuaji anadunda tu kitaa?
udini unakusumbua we nyang'aukama angekuwa dini moja na shekh ponda wangekuwa washamwita GAIDI
udini unakusumbua we nyang'au
.Ww sio muislam na usitufitinishe na ndugu zetu wakikiristo. Muislam wa kweli mwenye imani thabit na mwnye kumjua mungu na mtume muhamad saw na mwenye kuamini kwa dhati hangeweza kwenda kutibiwa na babu wa loliondo kwa aina ile ya tiba.ww ni mtu umezaliwa tu na wazazi waislam. Nakushauri uusome uislam na uwamini uislam ukiujua huwezi kuandika upuuzi huu.Wengi tunamjua kama babu wa loliondo huyu tapeli, Kaua watanzania wengi kwa sumu(kikombe) lakini ajabu serikali bado inamwangalia tu, binafsi kaniulia mama yangu mdogo na rafiki yangu Nobert, sasa serikali imemshindwa au kwakua ni mkristo? Mbona kina Ponda mmewashughulikia ila huyu muuaji anadunda tu kitaa?
jiulize why ushoga umeenea sana uislam ulipo mea sana, uzanzibar na mombasa :tinfoil3:tukisema ukweli unakimbilia kwenye udini...nyie ndio mnaoruhusu ndoa za jinsia moja tukisema utasikia udini unawasumbua paka shume ww
Ulimfuata mwenyewe
walilazimishwa kunywa kikombe?
unaleta hoja za kipumbavu kabisa,unajua udini wewe?
hukujui mahakamani?kaua ndugu zako,nani akashitaki kama sio wewe?
kaseme msikitini kwenu.!msome albaadil.
mlienda wenyewe kuna aliyelazishwa kwenda loliondo
There is a danger when a man like you throws his tongue into high speed before he gets his brain a-going. NONSENSE!
Kama ulikunywa kikombe na hukupona, kwani mahakamani hukujui?Wengi tunamjua kama babu wa loliondo huyu tapeli, Kaua watanzania wengi kwa sumu(kikombe) lakini ajabu serikali bado inamwangalia tu, binafsi kaniulia mama yangu mdogo na rafiki yangu Nobert, sasa serikali imemshindwa au kwakua ni mkristo? Mbona kina Ponda mmewashughulikia ila huyu muuaji anadunda tu kitaa?
jiulize why ushoga umeenea sana uislam ulipo mea sana, uzanzibar na mombasa :tinfoil3:
Wengi tunamjua kama babu wa loliondo huyu tapeli, Kaua watanzania wengi kwa sumu(kikombe) lakini ajabu serikali bado inamwangalia tu, binafsi kaniulia mama yangu mdogo na rafiki yangu Nobert, sasa serikali imemshindwa au kwakua ni mkristo? Mbona kina Ponda mmewashughulikia ila huyu muuaji anadunda tu kitaa?
Wengi tunamjua kama babu wa loliondo huyu tapeli, Kaua watanzania wengi kwa sumu(kikombe) lakini ajabu serikali bado inamwangalia tu, binafsi kaniulia mama yangu mdogo na rafiki yangu Nobert, sasa serikali imemshindwa au kwakua ni mkristo? Mbona kina Ponda mmewashughulikia ila huyu muuaji anadunda tu kitaa?