Dah! Kanisa litammiss Askofu Gwajima katika doctrine ya wokovu

Dah! Kanisa litammiss Askofu Gwajima katika doctrine ya wokovu

Hivi nikiiweka ile video clip iliyosababisha Roma mkatoliki akamtungia wimbo, nitakuwa nimefanya vibaya, mode atanilamba ban?

Maana hadi leo ninayo, nikiiangiliaga naishia tu kusema 'hiiiiiii'!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaosasli kwa gwajima wanahitaji maombezi au matibabu ya akili!
Huwa napenda kujua historia ya watu hawa kwani sidhani kama ni watu wanaojielewa vyema!
 
Tembelea ile site yetu pendwa ya XXXVideo utamkuta huko mchungaji wako anamla kondoo
 
Hichi "KIJIWE NONGWA" humu JamiiForums kinanikumbusha ule wimbo wa ROSTAM. . . . . . . . . . .

STAMINA:- Alikuja kama "MASII", tukamchangia "SADAKA", tukamuona "NABII" alieshushwa siku ya "PASAKA", tukamtolea na "ZAKA" ili kanisa "LIJENGWE".

ROMA:- Enh Enh na bado akamlaza muumini "KIFO CHA MENDE".
Ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Gwajima ni mropokaji na mpotoshaji na muongo... Kama hiyi biblia yake Inasema samehe Saba Mara sababini... Yeye kwenda kumuwekea bashite viapo vya namfuta kisiasa n.k

Kumtukana mtu mzima Tena mtumishi wa Mungu mwenzie kuwa Ni mpumbavu. Inaonesha TU Ana utovu wa nidhamu, Hana heshima kwa wakubwa zake...hivyo Basi abaki huko kanisani.. bungeni hakumfai na hatofika.

Halima Mdee for Kawee
 
Ni kweli Askofu Gwajima ameamua kupanua Huduma yake,ila kusema ukweli sjaona pale kanisani kwake anayeweza kufundisha doctrine ya wokovu kama yeye.

Vijana wake ni kweli wako vizuri lakini baado Sana kumsogelea kimafundisho baba yao, bado hawajawa na kipawa cha kufundisha na kuhubiri kama baba yao.

Gwajima kalifundisha kanisa la Tanzania juu ya misingi ya wokovu bila kupindisha kona. Ikumbukwe kipindi cha corona hapa Tz alitoa miongozo 12 ya kibbilia yakufuata ili usipatwe na corona.

Zilikuwa ni facts tupu na wengi tulitumia zikaaply. Gwajima anajua bana concept ya wokovu,akifundisha lazima upate kitu kipya kabisa.

Sawa baba nenda huko ulikowiwa kwenda ila usitusahau angalau mara moja kwa mwezi sisi wa mbali na dar huwa tunakupata kupitia online TV yako(rudisha TV).

Chamsingi ni kuona falme za dunia zimegeuka kuwa falme za mwanakondoo yaan Kristo Yesu

Gwajima hakuwahi kuokoka. Hivyo hawezi kuhubiri kitu ambacho hana. Ni sawa na mtu hajawahi kuwa daktari eti afundishe mtu udaktari. It is simply impossible.

Anayemtumikia anamjua yeye. Na ndiye aliyempa umati ule
 
Ni kweli Askofu Gwajima ameamua kupanua Huduma yake,ila kusema ukweli sjaona pale kanisani kwake anayeweza kufundisha doctrine ya wokovu kama yeye.

Vijana wake ni kweli wako vizuri lakini baado Sana kumsogelea kimafundisho baba yao, bado hawajawa na kipawa cha kufundisha na kuhubiri kama baba yao.

Gwajima kalifundisha kanisa la Tanzania juu ya misingi ya wokovu bila kupindisha kona. Ikumbukwe kipindi cha corona hapa Tz alitoa miongozo 12 ya kibbilia yakufuata ili usipatwe na corona.

Zilikuwa ni facts tupu na wengi tulitumia zikaaply. Gwajima anajua bana concept ya wokovu,akifundisha lazima upate kitu kipya kabisa.

Sawa baba nenda huko ulikowiwa kwenda ila usitusahau angalau mara moja kwa mwezi sisi wa mbali na dar huwa tunakupata kupitia online TV yako(rudisha TV).

Chamsingi ni kuona falme za dunia zimegeuka kuwa falme za mwanakondoo yaan Kristo Yesu
Mimi sidhani kama Gwajima ana wokovu ndani yake ni mtu ambaye pengine akaokoka huko baadaye na kuwa mwana wa Mungu aliye Hai.
 
Hichi "KIJIWE NONGWA" humu JamiiForums kinanikumbusha ule wimbo wa ROSTAM. . . . . . . . . . .

STAMINA:- Alikuja kama "MASII", tukamchangia "SADAKA", tukamuona "NABII" alieshushwa siku ya "PASAKA", tukamtolea na "ZAKA" ili kanisa "LIJENGWE".

ROMA:- Enh Enh na bado akamlaza muumini "KIFO CHA MENDE".
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom