Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Kwa hiyo sisi wananchi wa JIMBO lake tutafaidika vipi na hizo ndege na helkopta???.kweli ila sio kesi kwasababu ana usafiri wa ndege na helicopter anaweza akasafiri fasta dodoma- dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo sisi wananchi wa JIMBO lake tutafaidika vipi na hizo ndege na helkopta???.kweli ila sio kesi kwasababu ana usafiri wa ndege na helicopter anaweza akasafiri fasta dodoma- dar
hizo ndege ni za kwake alizipata kabla hajawa mbungeKwa hiyo sisi wananchi wa JIMBO lake tutafaidika vipi na hizo ndege na helkopta???.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] doctrine gani ya wokovu aliyokuwa anahubiri Gwajima????? Unajua maana ya doctrine???Ni kweli Askofu Gwajima ameamua kupanua Huduma yake,ila kusema ukweli sjaona pale kanisani kwake anayeweza kufundisha doctrine ya wokovu kama yeye.
Vijana wake ni kweli wako vizuri lakini baado Sana kumsogelea kimafundisho baba yao, bado hawajawa na kipawa cha kufundisha na kuhubiri kama baba yao.
Gwajima kalifundisha kanisa la Tanzania juu ya misingi ya wokovu bila kupindisha kona. Ikumbukwe kipindi cha corona hapa Tz alitoa miongozo 12 ya kibbilia yakufuata ili usipatwe na corona.
Zilikuwa ni facts tupu na wengi tulitumia zikaaply. Gwajima anajua bana concept ya wokovu,akifundisha lazima upate kitu kipya kabisa.
Sawa baba nenda huko ulikowiwa kwenda ila usitusahau angalau mara moja kwa mwezi sisi wa mbali na dar huwa tunakupata kupitia online TV yako(rudisha TV).
Chamsingi ni kuona falme za dunia zimegeuka kuwa falme za mwanakondoo yaan Kristo Yesu
Hovyo kabisa ndio minyumbu ya gwajima inavyojinasibu! Huna hata andiko lakukuunga mkono huu ujinga wako hapa umeropoka tu!Wewe huwez kunielewa kama uko gizani