Dah Magufuli hatanii, labda yupo sahihi kwa hili la kuwakamata wasichana wenye mimba

Dah Magufuli hatanii, labda yupo sahihi kwa hili la kuwakamata wasichana wenye mimba

Mkuu ukidhanu labda kuwakamata watu ndo kupunguza ongezeko la mimba [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hivi haujiulizi kwa nchi kama america ,china na nyengine zilizoendelea hakuna mimba za utotoni au mashuleni? Ni KWA KUWA SULUHISHO NI MZAZI KUMJENGEA MTOTO WAKE WA KIKE KUJIAMINI NA AMPE ELIMU JUU YA MAUMBILE YAKE PAMOJA NA KUTUMIA CONDOM PIA KUTULIA NA MPENZI MMOJA NA AANGALIE FUTURE YAKE ZAIDI na hii pia ninkwa watt wa kiume KWA KUWA HATA UKIWA MKALI ATALIWA NA MIMBA ATABEBA SO NI BORA KUMFANYA AWE AWARE NA MAMUZI ATAKAYOCHUKUA NA AJICHUNGE SANA

Hii ni Afrika bana, mambo ya Ulaya kule usilinganishe na pumba za huku ambapo mzazi huona mwanaye wa kike kama mali, kuna wale hulipwa kabisa msichana akiwa bado mdogo. Inabidi uongozi kujitoa ufahamu na kufanya mambo ya kichizi ili kieleweke, kiaina najikuta nikiunga mkono hivi vituko vya Magufuli.

Sasa hivi nategemea tukio la kukamatwa kwa hao wazazi na wanafunzi na kusakwa kwa walio watia mimba kumjenga hofu nchi yote, mtoto mwanafunzi wa kike pishana naye kwa mbali, maana ndio gumzo mtaani na kila maeneo.
 
Hii ni Afrika bana, mambo ya Ulaya kule usilinganishe na pumba za huku ambapo mzazi huona mwanaye wa kike kama mali, kuna wale hulipwa kabisa msichana akiwa bado mdogo. Inabidi uongozi kujitoa ufahamu na kufanya mambo ya kichizi ili kieleweke, kiaina najikuta nikiunga mkono hivi vituko vya Magufuli.

Sasa hivi nategemea tukio la kukamatwa kwa hao wazazi na wanafunzi na kusakwa kwa walio watia mimba kumjenga hofu nchi yote, mtoto mwanafunzi wa kike pishana naye kwa mbali, maana ndio gumzo mtaani na kila maeneo.
Ila kumegwa wataendelea kumegwa tu hakuna namna ya kuzuia ila watu inabidi wawe makini na mimba KWA TZ BADO SANA
 
Hii ni Afrika bana, mambo ya Ulaya kule usilinganishe na pumba za huku ambapo mzazi huona mwanaye wa kike kama mali, kuna wale hulipwa kabisa msichana akiwa bado mdogo. Inabidi uongozi kujitoa ufahamu na kufanya mambo ya kichizi ili kieleweke, kiaina najikuta nikiunga mkono hivi vituko vya Magufuli.

Sasa hivi nategemea tukio la kukamatwa kwa hao wazazi na wanafunzi na kusakwa kwa walio watia mimba kumjenga hofu nchi yote, mtoto mwanafunzi wa kike pishana naye kwa mbali, maana ndio gumzo mtaani na kila maeneo.
Kweli kabisa watoto wengi tz wanaacha shule na kuzalishwa lakini wahusika wanatoa hela kwa wazazi yanaishia nyumbani na mzazi anakula hela baada ya kwenda kuripoti na ndio maana Rais anaona hata wazaz wana makosa na hii tabia tz ishakua ya kawaida so kuikomesha acha magu adeal nao tu... Unakuta katoto ilibid kawe form two wahuni wamezalisha hafu wanatoa hela kwa mzaz katoto kanabaki kasingle maza na future yake kwenye elim ndio imedhurumiwa kwa hella kidogo tuu anayopewa mzazi
 
Mpaka sasa tuna viwanda 3500 ukijumulisha Viwanda Vya Cherehani na Mashine za kusaga Magimbi
 
Lazima ijulikane kwa nini mtoto alipewa mimba. Sababu hizi ni mzazi anayeweza kuzijua kwa urahisi zaidi ndio maana anaitwa kuelezea kuhusu mwanawe. Yeye ndiye shahidi wa kwanza. Kuitwa kwenda kuelezea sio kwa sababu ana hatia. Ninachokiona hapa watu wanastuka kwa nini mzazi aitwe... kuitwa sio kosa. Hivi mwenye habari kamili kuhusu mtoto ni nani kama sio mzazi???
Kichwa maji wewe
 
Tanzania ni kivutio cha utalii duniani yaani mwanangu amesex kisiri bila Mimi kuwepo wala kujua akipata ujauzito nikamatwe Mimi?
Soon tutakuja kupangiwa ratiba za kulala na wake zetu
 
Kukamatwa kwa wazazi ni sahihi. Wao ndio wenye wajibu wa kuwalea watoto wao na kujua nini kinaendelea/kimetokea kwa watoto wao.
Lengo ni pamoja na kupata majibu sahihi ya je kweli mimba ya mtoto imetokana na kubakwa au tabia za mtoto. Kujua nani anahusika na mimba hiyo isije ikawa wazazi walishamuozesha/walishakula mahari ya huyo binti akiwa shule. Je wazazi waliitumia vizuri nafasi yao kama wazazi au walizembea na kupelekea mtoto kujihusisha na mapenzi hadi mimba.

Kumbuka kuna wazazi wengine huchangia watoto kupata mimba wakiwa shuleni na ikibainika hivyo, wanastahili kushtakiwa.
Ujue kuwa ni tusi kwa mzazi kumshirikisha na mimba ya mwanawe isipokuwa kama binti kataja kuwa mimba ni ya mzazi sisi wazazi tunasikia vibaya sana kujua tu kuwa huyu mtoto wa shule ameanza mahusiano sio mimba anapopata mimba hata ndoa yetu inakosa amani
 
Tanzania ni kivutio cha utalii duniani yaani mwanangu amesex kisiri bila Mimi kuwepo wala kujua akipata ujauzito nikamatwe Mimi?
Soon tutakuja kupangiwa ratiba za kulala na wake zetu
Mkuu mi nachojua wee kama mzazi unakua na kosa endapo mwanao mwanafunzi atapata mimba then we ka mzazi huendi kuripoti police bali unamalizana kifedha na aliyempa mimba hilo ndio kosa mkuu hope umeelewa
 
Mkuu mi nachojua wee kama mzazi unakua na kosa endapo mwanao mwanafunzi atapata mimba then we ka mzazi huendi kuripoti police bali unamalizana kifedha na aliyempa mimba hilo ndio kosa mkuu hope umeelewa
Ndo nashauri kuwa hapo ni kuungana na mzazi kumtafuta mtuhumiwa na siyo kumuweka mzazi kizuizini

Lukwafya
 
Ndo nashauri kuwa hapo ni kuungana na mzazi kumtafuta mtuhumiwa na siyo kumuweka mzazi kizuizini

Lukwafya
Ndio ipo hivyo mzazi ukiona mwanao mjamzito unaripoti police mwanze kumtafuta mtuhumiwa na hicho ndio anataka Rais..
Tatzo lipo kuna wazazi hawaripoti wanamaliza msala kimya kimya na kula hela tu kwa mtuhumiwa ..sasaa hawa ndio magu anaowasaka
 
Ujue kuwa ni tusi kwa mzazi kumshirikisha na mimba ya mwanawe isipokuwa kama binti kataja kuwa mimba ni ya mzazi sisi wazazi tunasikia vibaya sana kujua tu kuwa huyu mtoto wa shule ameanza mahusiano sio mimba anapopata mimba hata ndoa yetu inakosa amani

Wewe kama mzazi mwanao ametiwa mimba halafu hujatoa taarifa kwa polisi eti siri ya ndani, ukamatwe tu na ikiwezekana ulambwe viboko hadharani.
Mtoto akitiwa mimba, unafaa uwe mkali hata kumzidi Magufuli au hao mapolisi, nenda toa taarifa kwa polisi halafu vuruga mpaka ukamkamate aliyemtia mimba aadhibiwe.
Nina mtoto wa kike anayebalehe na huwa napata machungu na kaukichaa fulani nikiona vijana wakimtazama tazama, lazima turudie ukali wa zamani kama wazazi, ipo kipindi nakumbuka hata kukutwa umesimama na binti wa mtu barabarani unavurugwa mpaka basi, leo hii vitoto vimevaa sare na kupeana busu hadharani...pumbavuu zao

Tazama hii video uniambie kama ni mwanao hutabeba panga

 
Ni kweli mzazi lakini hili la polis kukamata mzazi sijapenda labda kwa maelezo yako nipo na wewe inaumiza unajinyima mtoto asome yeye analeta mimba unaweza ua bila kukusudia kushirikana na polisi Ni sahihi sio kukamatwa
 
Back
Top Bottom