mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Nimeamka sina kifungua kinywa, ilipofika saa 5 hivi nikakoroga uji kwa kutumia maziwa yaliyokuwepo kama nusu lita hivi!! Nilikunywa huo uji mtamu na moyo ukaridhika kuwa hayo ndiyo maisha mazuri. Nikiwa mitaani hakuna anayeweza kuhisi kuwa nimeshindia uji.
Kwa kweli kuridhika ni faida kubwa! Alisikika mtu mmoja akiwaeleza rafiki zake huku akiwa na uso wa furaha utadhani anamiliki mamilioni ya fedha!
Kwa kweli kuridhika ni faida kubwa! Alisikika mtu mmoja akiwaeleza rafiki zake huku akiwa na uso wa furaha utadhani anamiliki mamilioni ya fedha!