Dah! Masikini Man City

CARIFONIA

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2013
Posts
616
Reaction score
1,453
Wanabodi hizi ninazowapa ni za ndani kabisa.

Unaambiwa Gudiola kawekwa kikahangoni usiku mnene, habari zinasema wachezaji wake wanajiboost na sindano, na sasa kashatafutiwa mbandala wake soon tu wanampa thanks

Inasemekana jamaa ni mbishi yahani hashauliki.
 
Niliwaambia watu juzi hapa, kwa hiyo hadi Guardiola anaihujumu Man City?
Vikosi vimechoka, tutaendelea kushuhudia vipigo hadi tuingie dirisha dogo la usajili.
 
Acha kiswa English wewe mmakonde wa kuchanja..eti Amex.

La direct ushuzi....

Kwansabab unpredictable fuc.k u
 
Sawa Fabrizio romano
 
Niliwaambia watu juzi hapa, kwa hiyo hadi Guardiola anaihujumu Man City?
Vikosi vimechoka, tutaendelea kushuhudia vipigo hadi tuingie dirisha dogo la usajili.
Yanga washukuru Mungu kuna international break wenge la kufungwa litatulia otherwise weekend hii wangegongwa tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…