KikahangoniWanabodi hizi ninazowapa ni za ndani kabisa, unaambiwa Gudiola kawekwa kikahangoni usiku mnene, habari zinasema wachezaji wake wanajiboost na sindano, na sasa kashatafutiwa mbandala wake soon tu wanampa thanks, inasemekana jamaa ni mbishi yahani hashauliki.
Alafu ukikaa nao utasikia nina degree..Kikahangoni
Mbandala
Yahani
Ndo manini hayo mkuu??
Sisi hatutaki za ndani tuletee za NJE MKUUWanabodi hizi ninazowapa ni za ndani kabisa.
Unaambiwa Gudiola kawekwa kikahangoni usiku mnene, habari zinasema wachezaji wake wanajiboost na sindano, na sasa kashatafutiwa mbandala wake soon tu wanampa thanks
Inasemekana jamaa ni mbishi yahani hashauliki.
Weka magoli,achana na winNawaambiaga watu kubeti ni biashara kichaa.
Odegaard yupo mkuuKazi iendeleee ,,,,eeeeh Chelsea na umfunge arsenal Leo tupande pale namba tatu🤸
Tumikia ndoa nifah,usiku wote huu jf?!Niliwaambia watu juzi hapa, kwa hiyo hadi Guardiola anaihujumu Man City?
Vikosi vimechoka, tutaendelea kushuhudia vipigo hadi tuingie dirisha dogo la usajili.
Sawa nyakanga, nimekusikia.Tumikia ndoa nifah,usiku wote huu jf?!
Acha kiswa English wewe mmakonde wa kuchanja..eti Amex.Siyo kama unafuatilia mchezo wa soka vizuri. Sporting alivyokutana na City juzi kwenye ligi alikuwa kafunga magoli 35 na kafungwa 4 tu, wakati huo City katoka kupigwa kwenye ligi.
Mechi ya leo Brighton wana msimu mzuri sana, Albion japokuwa mechi iliyopita walifungwa Alfiend ila walikuwa wabishi sana.
Pale Amex Stadium msimu huu ni machinjioni kwa vigogo: United aliacha points, Arsenal akafuata akaacha points. Leo City kuacha points siyo ajabu baada ya kuacha points Portugal akiwa ugenini pia. Kumkosa Rodri kwenye kiungo inaendelea kuwa shida kwao.
Watu wanaofuatilia takwimu wanajua EPL siyo nzuri kwa soko la direct win kwasababu ni unpredictable kila wiki.
Sawa Fabrizio romanoWanabodi hizi ninazowapa ni za ndani kabisa.
Unaambiwa Gudiola kawekwa kikahangoni usiku mnene, habari zinasema wachezaji wake wanajiboost na sindano, na sasa kashatafutiwa mbandala wake soon tu wanampa thanks
Inasemekana jamaa ni mbishi yahani hashauliki.
Huu ni umbeya wa kiume, umebatizwa jina na kuitwa za ndani.mtoa Uzi ni mmbeya.Sisi hatutaki za ndani tuletee za NJE MKUU
Yanga washukuru Mungu kuna international break wenge la kufungwa litatulia otherwise weekend hii wangegongwa tenaNiliwaambia watu juzi hapa, kwa hiyo hadi Guardiola anaihujumu Man City?
Vikosi vimechoka, tutaendelea kushuhudia vipigo hadi tuingie dirisha dogo la usajili.
Vp watahama uwanja?Wanabodi hizi ninazowapa ni za ndani kabisa.
Unaambiwa Gudiola kawekwa kikahangoni usiku mnene, habari zinasema wachezaji wake wanajiboost na sindano, na sasa kashatafutiwa mbandala wake soon tu wanampa thanks
Inasemekana jamaa ni mbishi yahani hashauliki.