Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

pole sana kwa changamoto unazopitia
Nahisi ungefikiria pia Kuomba msaada wa kumalizia hiyo degree, kabla muda hauja enda sana
Ndugu hata hiyo natamani,sana maana wa darasa langu wengi wametoka kutokana na ubora wa course ,
Lakini unawazaje Kusoma Wakati hata kula na kodi ni mtihani,ni rahisi ukishikwa mkono kujiendeleza hata Open university maana na wenyewe wanahiyo course ya clinical nutrition,
Lakini ata least ukipewa ndoano ni rahisi kuvua kuliko kupewa samaki,wakiisha utakosa chakula
 
Ndugu hata hiyo natamani,sana maana wa darasa langu wengi wametoka kutokana na ubora wa course ,
Lakini unawazaje Kusoma Wakati hata kula na kodi ni mtihani,ni rahisi ukishikwa mkono kujiendeleza hata Open university maana na wenyewe wanahiyo course ya clinical nutrition,
Lakini ata least ukipewa ndoano ni rahisi kuvua kuliko kupewa samaki,wakiisha utakosa chakula
Point Sana mdogo wangu . Unaonekana uko vzr kichwani fight ukipata kazi make fanya biashara wadau watakushika mkono. Kila la heri
 
Back
Top Bottom