Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Oya nipe Pepsi 3 chap🤒Unawajua watu wa JF wewe? Hehee
Umeharibu kimtindo kukiri wazi una ID uliyoshindwa kuja nayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya nipe Pepsi 3 chap🤒Unawajua watu wa JF wewe? Hehee
Umeharibu kimtindo kukiri wazi una ID uliyoshindwa kuja nayo.
Tulia basi,. Nawe umechukulia siriazi?Kumbe una heshimu watu kisa Mali au wadhifa??
😂 kazi ipoHata mimi napitia changamoto kama hizo naogopa tu kusema zamani niliwahi kujichanganya nikajidai tajiri hapa jf
Mkuu mm ni mpambanaji hata shule na advance. Na vyuo nimejipambania,Hustle zote izo umepitia+experiences +kuahilisha mwaka bado una 27yrs .Mkuu pambana muda wa kulalamika bado sana.
We tajiri unatunafkia tu hapaKaka ndo maana mi naji itaga jobless pro max 😂.
👉Wana hawana jema
Hahahaha,poa msalimie mama ntilie.Utasubiri sana mwanangu... Nishatoka huko
Hapana usimsingizie kijana wa watu,anaweza kuta ndo akanishika mkono akahairishaMpaji Mungu huyu🤣
Naku elewa mkuu, sometimes Ina bidi uji shushe tu.Mkuu mm ni mpambanaji hata shule na advance. Na vyuo nimejipambania,
Ila kuna muda unafakika unatamani upate jambo la kulipambania ndo changamoto inapokuja
Kichwa chako... Mm sio sperm donor. NilikataaHahahaha,poa msalimie mama ntilie.
AminaNamuomba Mungu akufanyie wepesi, akupe haja ya moyo wako
Akufungulie milango ya baraka iliyojifunga au kufungwa!!
Natania tu mkuu. Maana hali uliyonayo hiyo nami nimeiishi 2018.Hapana usimsingizie kijana wa watu,anaweza kuta ndo akanishika mkono akahairisha
And I shall be mkuu, with all this hustle am planting.We tajiri unatunafkia tu hapa
Mkuu, rekebisha.
Wewe huna Bachelor Degree kwa sababu hujamaliza. Bila shaka utakuwa na elimu ya kidato cha 6.
Hongera.Kichwa chako... Mm sio sperm donor. Nilikataa
Uwe mara ngapi mr ellonAnd I shall be mkuu, with all this hustle am planting.
👉USI shituke 2035 Nika wemo kwenye list ya forbes