mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 3,074
- 6,472
hv yu wap huyu mwamba mana alikuwaaUsidhani tumesahau ID yako ya zamani bwana Kidukulilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hv yu wap huyu mwamba mana alikuwaaUsidhani tumesahau ID yako ya zamani bwana Kidukulilo
Sekta binafsi lazima ufanye kazi na utoke jasho; sijui huko kwingineAcha ujinga mkuu, serious hata wewe hayo mauzo ya milioni 20 unaweza toa wapi ???
👉 Don't just speak kisa uonekane una type type tu.
👉Nina ki start up, nime ki fund kwa jasho na damu- unadhani kushawishi watu mchezo ehh🙄🤒
Aku tajirishe au sio, acha kuua watu kisa njaa zao.Sekta binafsi lazima ufanye kazi na utoke jasho; sijui huko kwingine
Hizo hapo, au unataka za chupa?Oya nipe Pepsi 3 chap🤒
Huku ni win/ win; kazi kazi kweliAku tajirishe au sio, acha kuua watu kisa njaa zao.
Waiter acha kiherehere, bilauli za chuma- ziko wapi🙄🤣😆Hizo hapo, au unataka za chupa? View attachment 2877768
Yaani badala by kuleta mauzo, napita na nguo😆🤣🤒Huku ni win/ win; kazi kazi kweli
Yeye ni kuleta oda tu, hela hashiki; hela inalipiwa benkiYaani badala by kuleta mauzo, napita na nguo😆🤣🤒
Keep that sucking job of yoursYeye ni kuleta oda tu, hela hashiki; hela inalipiwa benki
Ndio kazi zilizobakia kwa sasa; kama hamtaki, subirini wazee wastaafu ili nafasi zipatikaneKeep that sucking job of yours
😂😂 Acha bangi ndugu yanguKama ataleta mauzo ya milioni 20 kwa mwezi, atapata mshahara wa Tsh. 1,050,000/=.
Wote humu ni jobless 😂😂kwanza jifunze kujiamin na kujipa iman ila ukisema kila jambo utake msaada matokeo yake ndio haya kuobwa i d broo hakuna msaada hapa humu wote jobless, kama mi mwongo utanipa mrejesho
Tatizo hapo ni nini, kulipwa mshahara wa 1,050,000/=? au unataka alipwe laki kwa mwezi?😂😂 Acha bangi ndugu yangu
Nimekutumia 700,000 kwenye simu yako hope itakusaidiaNdugu zangu, kaka zangu na dada zangu
Kutokana na kuwa maarufu kiasi Hapa JF, imenibidi nije na Id ya akiba,
Nahisi kabisa dunia imenielemea napambana na changamoto nyingi kwenye suala la kujitafutia riziki (kiuchumi)
Nahisi napambana hadi mwisho wa uwezo, lakini bado ngoma ngumu
Umri wangu ni chini ya miaka 27, elimu yangu ni bachelor degree katika masuala ya lishe, ila kutokana na ugumu wa Maisha na kujisomesha mwenyewe nikabidi niahirishe masomo mwaka juzi nikiwa nimebakisha mwaka na kidogo nihitimu, hii ni kutokana na kukosa ada nikaingia kupambana mtaani.
Nina uzoefu sana katika masuala ya ufundishaji hii ni kutokana na kufundisha baadhi ya shule kama part time teacher wa masomo ya sayansi kama (physics, chemistry, na biology,)
Pia ni mzuri kwenye uandaaji wa practicals na ufanyishaji usimamiz wake
Pia ni mzuri kwenye leadership skills na person management, pia bussiness management nahisi hii ni kipaji kutokana na kuwa kaka mkuu na kiongozi katika levels zote za kielimu nilizowahi kupita
Nina uzoefu kwenye maswala ya computer, excel na microsoft
Pia kwenye kazi za mikono ndipo sasa ninapo pambana, ni mpambanaji wa popote kambi.
Ndugu zangu huku mtaani usipopata wa kukushika mkono Maisha yako yanakuwa magumu sana, unaweza hisi umelogwa, au kama una laana au unaweza kukata hata tamaa ya Maisha.
Maana napitia kwenye kipindi kula ni kuotea, kodi na hata kuvaa shida.
Yani jua linapochomoza tunashukuru Mungu, lakini linapozama pasipo kuingiza chochote unahisi mwili na akili vinashinda unajikuta unakata tamaa kabisa.
Siyo hupambani lakini unajikuta unakosa kabisa yani.
Dada zangu, kaka zangu, mama na baba zangu, mimi ndugu yenu nipo hapa naamini huku kuna watu tofauti tofauti wanaoshughurika na ishu tofauti
Mimi naomba kushikwa mkono, maana ni kweli napambana lakini najikuta sielewi, hata siku hizi kazi tu ya duka hadi uwe na connections binafsi sina connections ya aina yoyote ile, na hata ninaona wanajiweza wengi wamenitolea nje.
Kama moyo wako unakupa kupenda nishike mkono mdogo wako, au mimi mwanao, nipo tayari kufanya kazi yoyote halali kwa nguvu zangu zote na kwa akili zangu zote, na nia yangu yote, pia nipo tayari kuwa mwaminifu .
Kwasasa nipo tayari kufanya kazi yoyote ile ile ila halali ilimradi mkono
Mkono uwende kinywani .
Mungu akubariliki wewe utakayewiwa, pia usinikejeli huwezi jua napitia changamoto gani.
Mengine nimeona si busara kuweka public.
Nawasiliana yangu ni 0656831684
Mauzo ya mavazi ya 20m per month au siyo 😂Tatizo hapo ni nini, kulipwa mshahara wa 1,050,000/=? au unataka alipwe laki kwa mwezi?
Tajiri huna bayaCha mibangi mdogo wetu 🤒
🐈👶 Kinyaukitoto aje aseme jamboNimekutumia 700,000 kwenye simu yako hope itakusaidia
Kazi za masoko ni ngumu ila ukishaziwezea hakuna shidaMauzo ya mavazi ya 20m per month au siyo 😂
Hii kazi niliwahi kuifanya, nshawahi kukaa wiki nzima hakuna ht mtu wa kuja kuangalia nguo