Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

Naamini utafanikiwa ndugu yangu, japo kuna kaugumu kidogo lakini utafanikiwa, binafsi ni vile kazi zetu si rafiki sana sana kumshika mtu mkono lakini i'm swear kama mazingira ya kibarua changu yangekuwa rafiki ungeona private message yangu.

Lakini nakutakia kufanikiwa .
Ubarikiwe asante kwa moyo tu
 
Kuna mwamba wangu mmoja hv yeye huwa haamin ushaur wa mtu bas kuna siku alikuwa anakataka kaeneo mjin kati aweke biashara, akaenda kwa wazee wa manispaa akaongea nao wakamwambia hapa utalipa kwa mwez milion 3 jamaa akasema sio kes bas akajitokeza mzee mmoja akamwambia kijana hapa hutopaweza coz,gharama ni kubwa na mzunguko ni mdogo, jamaa akajibu kama nilivyokuwa maskin hamkunishaul saiv nimepata pesa washaur mnajitokeza, sitaki ushaur wenu, nini cha kujifunza mtoa mada, kwanza jifunze kujiamin na kujipa iman ila ukisema kila jambo utake msaada matokeo yake ndio haya kuobwa i d broo hakuna msaada hapa humu wote jobless, kama mi mwongo utanipa mrejesho
Bro humu kuna watu siyo tu wametoboa,lakini pia hawako katika maisha ya kuwaza jambo la uchumi la Hapa duniani, labda baada ya kifo,
Kuna watu wanavitega uchumi vya kutosha,ilà pia kuna watu hali kama yangu mkuu
 
Weka vyeti pembeni nenda na fani za ufundi, katika hiki kipindi ambacho unajaribu ku survive..
Kazi zote Siku hizi ni connections na Baadhi lazima utoe chochote na hata Hivyo hazipatikani,
Nimepangana Dana ndugu ndo mana nipo Hapa ,labda ñaweza pata wakunishika mkono
 
Shida ya kuigiza maisha mtandaoni ukifikwa na ya kukufika unaionea aibu ID yako. Nikushauri weka wazi hiyo ID yako maarufu humu pengine itakuwa rahisi kwako kufikiwq kiwepesi, trust me
Ndo maana mimi sijawahi igiza na sitakuja igiza humu.Maana inaweza kuja siku nikahitaji msaada humu.

Wenye uwezo jamani mshikeni member mwenzetu.Mimi bado masikini na sina connection ningemsaidia kajieleza sana sana
 
Back
Top Bottom