kinyaukitoto
Senior Member
- Oct 13, 2019
- 103
- 192
- Thread starter
- #141
Asante mkuu I will take consideration ya income and expensesKuna kazi sehemu; mtu wa kutafuta masoko ya mavazi anahitajika
Mshahara= 50,000 + 5% ya mauzo aliyoleta kwa mwezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu I will take consideration ya income and expensesKuna kazi sehemu; mtu wa kutafuta masoko ya mavazi anahitajika
Mshahara= 50,000 + 5% ya mauzo aliyoleta kwa mwezi
Kila mmoja na safari yake mdauTwende wote mkuu huko,utabarikiwa sana
Ubarikiwe asante kwa moyo tuNaamini utafanikiwa ndugu yangu, japo kuna kaugumu kidogo lakini utafanikiwa, binafsi ni vile kazi zetu si rafiki sana sana kumshika mtu mkono lakini i'm swear kama mazingira ya kibarua changu yangekuwa rafiki ungeona private message yangu.
Lakini nakutakia kufanikiwa .
Sawa mkuu nimekuwa wazi sasaBachelor degree ni cheti mkuu,kama huja graduate ni form six uwe muwazi usaidiwe
Niunganishe tu mkuu hali ngumu,bora 1 kuliko sifuriMkuu hata Kama ana njaa, ila sio ki hivyo.
👉Kuna chimbo la 150, ila kwa umri wa mtoa mada.- nime ona ni ku lose time tu.
Mkuu pm huja pokea za kutosha??,Niunganishe tu mkuu halo ngumu,bora 1 kuliko sifuri
Very interestingKama ataleta mauzo ya milioni 20 kwa mwezi, atapata mshahara wa Tsh. 1,050,000/=.
Hapana kabisa mkuu, ndo mana bado nipoMkuu pm huja pokea za kutosha??,
Basi uta pokea, watu wako pamoja nawe.Hapana kabisa mkuu, ndo mana bado nipo
Bro humu kuna watu siyo tu wametoboa,lakini pia hawako katika maisha ya kuwaza jambo la uchumi la Hapa duniani, labda baada ya kifo,Kuna mwamba wangu mmoja hv yeye huwa haamin ushaur wa mtu bas kuna siku alikuwa anakataka kaeneo mjin kati aweke biashara, akaenda kwa wazee wa manispaa akaongea nao wakamwambia hapa utalipa kwa mwez milion 3 jamaa akasema sio kes bas akajitokeza mzee mmoja akamwambia kijana hapa hutopaweza coz,gharama ni kubwa na mzunguko ni mdogo, jamaa akajibu kama nilivyokuwa maskin hamkunishaul saiv nimepata pesa washaur mnajitokeza, sitaki ushaur wenu, nini cha kujifunza mtoa mada, kwanza jifunze kujiamin na kujipa iman ila ukisema kila jambo utake msaada matokeo yake ndio haya kuobwa i d broo hakuna msaada hapa humu wote jobless, kama mi mwongo utanipa mrejesho
Mkuu mbona sijaiyona,😀😀Nimekutumia 700,000 kwenye simu yako hope itakusaidia
Popote kambi ,ila iwe halali mkuuBasi uta pokea, watu wako pamoja nawe.
👉Mi njia yangu huto iweza, unaeza subiri Hadi miezi 3- ndo uanze kuona profit???.
👉Posho uta pata, ila Ina hitaji moyo
Kazi zote Siku hizi ni connections na Baadhi lazima utoe chochote na hata Hivyo hazipatikani,Weka vyeti pembeni nenda na fani za ufundi, katika hiki kipindi ambacho unajaribu ku survive..
Popote kambi mkuu,ww niunganishe tuUngekua kusini ningekuunganishe ukasimamie mashamba.
Ndo maana mimi sijawahi igiza na sitakuja igiza humu.Maana inaweza kuja siku nikahitaji msaada humu.Shida ya kuigiza maisha mtandaoni ukifikwa na ya kukufika unaionea aibu ID yako. Nikushauri weka wazi hiyo ID yako maarufu humu pengine itakuwa rahisi kwako kufikiwq kiwepesi, trust me
Hapo ndo una feli, ko una maanisha Nauza Figo za watu🙄Popote
Popote kambi ,ila iwe halali mkuu
Unamsingizia kabisa,unaweza kuta Bwana Lucas mwashambwa akawa connections yangu akahairisha,si unajua tena Bwana lucas yupo karibu na wakubwaa nchi mkuuUnaweza kukuta huyu ni Lucas Mwanishamba ambaye kila uzi anasifia mataga wenzake kumbe maisha yake halisi tia maji tia maji.
Asante
Sina Maana hiyo,mkuuHapo ndo una feli, ko una maanisha Nauza Figo za watu🙄