Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

Mkuu nimeamka na nikuahidi sitakaa niwe serious hata siku moja!
Au sio🤣
F7MPi7TXwAAGJ8D.jpg
 
Ni mtaalam kabisa wa lishe au Magumashi?
Yap nimesomea clinical nutrition and dietetics,
Na utaalamu kabisa yani hata kutibu , kutengeneza diets n.k
But sikuweza kumaliza chuo ,kutokana na changamoto za kiuchumi,hata hili ninalopambania Ili nikipata chochote kitu nijiendeleze hata open university ,maana Kuna course kama yangu ingawa wenyewe wanafanya distance mode,
Nitafute alafu niulize lolote kuhusu tiba lishe
 
ukisema hivyo hata mm nina rasilimali zenye pesa mingi tu na connection za watu wakubwa za ndani ndani nyng tu alafu nikikutajia mi flani unaweza usiniamin, mkuu ninachokiongelea hapa sicho unachokifikilia wewe,, ninaposema watu wa humu wote ni majobless, siongelei, kiuchumi, au hawana kazi, mkuu dunia hy hakuna binadamu asiekuwa na kazi, iwe mtoto au mkubwa,,wote wana kazi zao, ndio mana natanguliza kusema kuna sehemu hujanielewa umetumia hisia kunielewa na sio fikra, kujiuliza why mwamba kasema majobless ikiwa mwamba anajua humu kuna kina pascal ni waandishi wa habar, kuna kina mshana, wana mishe zao, kuna hadi kina makonda, gwajima,nk, ila nasemaje humu wote ni majobless na huwez kupata mishe toka kwa members wa we ngj utanielewa
Hata wewe ni member mkuu waweza nishika mkono mdogo wako,nisidhalilike
 
hakuna mkono humu, utapata maelezo,, yenye kuchamvusha akili yako kipi ufanyie kazi, na sio kazi in direct, ndio kama hapo juu wadau wanakupa michongo, ni rahis kutangaza kaz fb na ukapata kuliko jf, unajua kwanini? Humu wengi tupo kifek kama ww unavyokili kubadil i d, mtu fake hawez kupa practical job coz kwanza mpaka kuweka ufek kweny i d yake hataki ajulikane so ili akupe inabid mjuane kitu ambacho utakuwa umekiuka miko, na ukumbuke huu ni mtandao ni mpana, kumbuka mello aliwahi kubanwa ili tu ataje member alietoa mada ambayo iligusa nyeti za selikari najua unakumbuka ile kesi iliishia vp kama ulifuatilia, so hakuna mtu mwenye akili timamu wa humu ambae atakupa mishe in direct, weng kama ww ulivyohofia kuweka i d yako na wao wana hofia usije ukawa, tiss, coz selikar inambinu nyng ndio maana ya msemo wang WOTE HUMU NI MAJOBLESS hakuna mtu atakupa kaz humu
Ni kweli mkuu,mm nimetoa namba ila ID fake,hii inasaidia na kuipa utamumbulisho wa jukwaa huru la jamiiforum,
Maana kama tungekuwa tunaweka details zote lisingekuwa huru Tena mkuu,
Ukweli mm nipo seriously mkuu,nipo seriously kwelikweli sipo kwaajiri ya kuchunguza Id ya mtu.
Maana kuchunguza hakutasaidia lolote.
Lengo la kuja na alternative ID ,ni kuwa yawezaekana huyu anayeweza kunipa connection ni member -
-tuliyezoeana kiasi,(seriousness ikapungua)
-au tumekutana kwenye mbilinge za humu ,maana humu Kuna majukwaa ya siasa ,uchumi, intelligence,social
-pia yawezekana mtu akashindwa kuwa huru ,mkuu Sina maana mbaya,ila siku ukibanwa sehemu utanielewa
 
Haimaanishi ya kujisifu, kuandika shida kupitia ID kuu inakufanya usiwe huru tena na ID, ukirumbana hoja watu wanaleta screenshot za kulia shida, pia kama hapo kaweka namba ya simu so hawezi kuwa Anonymous tena....So sio kwamba anajitamba kwa hio ID.
Ubarikiwe mkuu
 
Msaidieni kijana wqcheni longolongo
Mm ningekusaidia dogo ila mishe zangu ni sait kubebq tofar na kaz ya kuuza usingiz yaan ulinzi. Na kwa ww naona haipendez una elimu nzuri naona haustahili hizi kazi.
 
Msaidieni kijana wqcheni longolongo
Mm ningekusaidia dogo ila mishe zangu ni sait kubebq tofar na kaz ya kuuza usingiz yaan ulinzi. Na kwa ww naona haipendez una elimu nzuri naona haustahili hizi kazi.
Hakuna nisichostahili mkuu,ndo mana nipo hapa
 
Msaidieni kijana wqcheni longolongo
Mm ningekusaidia dogo ila mishe zangu ni sait kubebq tofar na kaz ya kuuza usingiz yaan ulinzi. Na kwa ww naona haipendez una elimu nzuri naona haustahili hizi kazi.
Mkuu mm popote kambi kwa sasa mkuu,hzo za tofali nimebeba sana tu
 
Back
Top Bottom