Ni KAzi ya ulinzi zanzibarHiyo siyo kazi halali mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni KAzi ya ulinzi zanzibarHiyo siyo kazi halali mkuu
Au sio🤣Mkuu nimeamka na nikuahidi sitakaa niwe serious hata siku moja!
Mwamba wa umalila sauti ya radi fahari ya itete......
Kabisaa na asithubutuu.Wasikudanganye ukafichua ID yako maarufu, unawajua wabongo wewe, watakusuta hadi ufe.
Hapo pagumu,ila just tu maisha Yana up and down nyingi mkuuInakwaje wewe maarufu jf afu huna kazi?
Yap nimesomea clinical nutrition and dietetics,Ni mtaalam kabisa wa lishe au Magumashi?
Hata wewe ni member mkuu waweza nishika mkono mdogo wako,nisidhalilikeukisema hivyo hata mm nina rasilimali zenye pesa mingi tu na connection za watu wakubwa za ndani ndani nyng tu alafu nikikutajia mi flani unaweza usiniamin, mkuu ninachokiongelea hapa sicho unachokifikilia wewe,, ninaposema watu wa humu wote ni majobless, siongelei, kiuchumi, au hawana kazi, mkuu dunia hy hakuna binadamu asiekuwa na kazi, iwe mtoto au mkubwa,,wote wana kazi zao, ndio mana natanguliza kusema kuna sehemu hujanielewa umetumia hisia kunielewa na sio fikra, kujiuliza why mwamba kasema majobless ikiwa mwamba anajua humu kuna kina pascal ni waandishi wa habar, kuna kina mshana, wana mishe zao, kuna hadi kina makonda, gwajima,nk, ila nasemaje humu wote ni majobless na huwez kupata mishe toka kwa members wa we ngj utanielewa
Dah , nilikuwa too emotional mkuu,To be honest nimeishia hapa kusoma! Bado maisha hayajakupiga vzr na una utoto mwingi, umaaarufu? umaaarufu gn huu jf?
Ni kweli mkuu,mm nimetoa namba ila ID fake,hii inasaidia na kuipa utamumbulisho wa jukwaa huru la jamiiforum,hakuna mkono humu, utapata maelezo,, yenye kuchamvusha akili yako kipi ufanyie kazi, na sio kazi in direct, ndio kama hapo juu wadau wanakupa michongo, ni rahis kutangaza kaz fb na ukapata kuliko jf, unajua kwanini? Humu wengi tupo kifek kama ww unavyokili kubadil i d, mtu fake hawez kupa practical job coz kwanza mpaka kuweka ufek kweny i d yake hataki ajulikane so ili akupe inabid mjuane kitu ambacho utakuwa umekiuka miko, na ukumbuke huu ni mtandao ni mpana, kumbuka mello aliwahi kubanwa ili tu ataje member alietoa mada ambayo iligusa nyeti za selikari najua unakumbuka ile kesi iliishia vp kama ulifuatilia, so hakuna mtu mwenye akili timamu wa humu ambae atakupa mishe in direct, weng kama ww ulivyohofia kuweka i d yako na wao wana hofia usije ukawa, tiss, coz selikar inambinu nyng ndio maana ya msemo wang WOTE HUMU NI MAJOBLESS hakuna mtu atakupa kaz humu
Sawa mkuuNimesikia kule kawe kwenye ule mradi wa magorofa makubwa karibu na kawe beach kesho wataanza kuchukua vibarua.nenda kajaribu.wanaanza kujenga up ya baada ya magufuli kuufungia.
N.B NIMESIKIA watachukua wafanyakazi sina uhakika.
Upo real kwenye fake ID, sawa 😁Mm hua sinaga ID nyngn tofauti na hii, na hua npo real sana 😁😁ila wandugu mkinihukumu nyie nichinjeni tu!
Ukiniona sipo hewani mara nyingi mchana natumia wi Fi ya office ko usiku siweki bando labda pawe na umuhimu sana
Ubarikiwe mkuuHaimaanishi ya kujisifu, kuandika shida kupitia ID kuu inakufanya usiwe huru tena na ID, ukirumbana hoja watu wanaleta screenshot za kulia shida, pia kama hapo kaweka namba ya simu so hawezi kuwa Anonymous tena....So sio kwamba anajitamba kwa hio ID.
Feki ni utambilisho kama sehemu ya sera ya jukwaa husika ila ukiniuliza jambo kuhusu mm nakua mkwelUpo real kwenye fake ID, sawa 😁
Ila we jamaa unapenda majaribu hebu fanya kupakia picha yako hapaFeki ni utambilisho kama sehemu ya sera ya jukwaa husika ila ukiniuliza jambo kuhusu mm nakua mkwel
Nakupa vipimo afu tengeneza picha kichwani mwakoIla we jamaa unapenda majaribu hebu fanya kupakia picha yako hapa
mkuu ipo wapi hiyo kazi mimi naiweza 100%Kazi ya kuuza usingizi a.k.a kunyonyesha mbu unaweza? Shahara lak 180 kula kulala bure
Thought, thought , thoughtKazi zote Siku hizi ni connections na Baadhi lazima utoe chochote na hata Hivyo hazipatikani,
Nimepangana Dana ndugu ndo mana nipo Hapa ,labda ñaweza pata wakunishika mkono
Hakuna nisichostahili mkuu,ndo mana nipo hapaMsaidieni kijana wqcheni longolongo
Mm ningekusaidia dogo ila mishe zangu ni sait kubebq tofar na kaz ya kuuza usingiz yaan ulinzi. Na kwa ww naona haipendez una elimu nzuri naona haustahili hizi kazi.
Mkuu mm popote kambi kwa sasa mkuu,hzo za tofali nimebeba sana tuMsaidieni kijana wqcheni longolongo
Mm ningekusaidia dogo ila mishe zangu ni sait kubebq tofar na kaz ya kuuza usingiz yaan ulinzi. Na kwa ww naona haipendez una elimu nzuri naona haustahili hizi kazi.