OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Inakwaje wewe maarufu jf afu huna kazi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukisema hivyo hata mm nina rasilimali zenye pesa mingi tu na connection za watu wakubwa za ndani ndani nyng tu alafu nikikutajia mi flani unaweza usiniamin, mkuu ninachokiongelea hapa sicho unachokifikilia wewe,, ninaposema watu wa humu wote ni majobless, siongelei, kiuchumi, au hawana kazi, mkuu dunia hy hakuna binadamu asiekuwa na kazi, iwe mtoto au mkubwa,,wote wana kazi zao, ndio mana natanguliza kusema kuna sehemu hujanielewa umetumia hisia kunielewa na sio fikra, kujiuliza why mwamba kasema majobless ikiwa mwamba anajua humu kuna kina pascal ni waandishi wa habar, kuna kina mshana, wana mishe zao, kuna hadi kina makonda, gwajima,nk, ila nasemaje humu wote ni majobless na huwez kupata mishe toka kwa members wa we ngj utanielewaBro humu kuna watu siyo tu wametoboa,lakini pia hawako katika maisha ya kuwaza jambo la uchumi la Hapa duniani, labda baada ya kifo,
Kuna watu wanavitega uchumi vya kutosha,ilà pia kuna watu hali kama yangu mkuu
humu kuna watu wana hela na uwezo wa kukusaidia ila wabinafsi kishenzi!
hakuna mkono humu, utapata maelezo,, yenye kuchamvusha akili yako kipi ufanyie kazi, na sio kazi in direct, ndio kama hapo juu wadau wanakupa michongo, ni rahis kutangaza kaz fb na ukapata kuliko jf, unajua kwanini? Humu wengi tupo kifek kama ww unavyokili kubadil i d, mtu fake hawez kupa practical job coz kwanza mpaka kuweka ufek kweny i d yake hataki ajulikane so ili akupe inabid mjuane kitu ambacho utakuwa umekiuka miko, na ukumbuke huu ni mtandao ni mpana, kumbuka mello aliwahi kubanwa ili tu ataje member alietoa mada ambayo iligusa nyeti za selikari najua unakumbuka ile kesi iliishia vp kama ulifuatilia, so hakuna mtu mwenye akili timamu wa humu ambae atakupa mishe in direct, weng kama ww ulivyohofia kuweka i d yako na wao wana hofia usije ukawa, tiss, coz selikar inambinu nyng ndio maana ya msemo wang WOTE HUMU NI MAJOBLESS hakuna mtu atakupa kaz humuPole sana,but siyo muhimu KWA sasa kuotea ilà ni muhimu kunishika mkono ndogo wenu
To be honest nimeishia hapa kusoma! Bado maisha hayajakupiga vzr na una utoto mwingi, umaaarufu? umaaarufu gn huu jf?Kutokana na kuwa maarufu kiasi Hapa JF, imenibidi nije na Id ya akiba,
Eeee Mungu wangu!!! Mungu amsamehe huyo kijana! na magumu yangu kama sehemu ya maisha ila Sijawahi jiliza humu......yakinikaba najua wapi nianzeOya Mpaji Mungu unaitwa huku
inasemekana hiyo ID ikiwa active hii inakuwa off na vice versa is trueEeee Mungu wangu!!! Mungu amsamehe huyo kijana! na magumu yangu kama sehemu ya maisha ila Sijawahi jiliza humu......yakinikaba najua wapi nianze
Mm hua sinaga ID nyngn tofauti na hii, na hua npo real sana 😁😁ila wandugu mkinihukumu nyie nichinjeni tu!inasemekana hiyo ID ikiwa active hii inakuwa off na vice versa is true
Aiseee sister 😁😁kua serious kidogoUmeniwahi!!🤣
Umeniambukiza machoAiseee sister 😁😁kua serious kidogo
Mkuu nimeamka na nikuahidi sitakaa niwe serious hata siku moja!Hahahaaa jamaa hajawahi kua serious. Na avatar yake ile sasa. Nikiiona tu nacheka
Yaan ww bado! 😂😂😂 Sukari 4500Umeniambukiza macho
Nimekutania!! Sijapata red eyes mimi...Yaan ww bado! 😂😂😂 Sukari 4500
Nimeshapona vzr! npo tu nawasoma wanagenzi mnanisakasia dog hapaNimekutania!! Sijapata red eyes mimi...
UMepona?
Nilidhani wewe! Nikaangalia Id umejiunga 23 yeye 19 nikajua sio wewe...Nimeshapona vzr! npo tu nawasoma wanagenzi mnanisakasia dog hapa
Naona network imeanza kuwarudi taratibu! Inshort mm ni ngumu kunikuta naanzisha threads humuNilidhani wewe! Nikaangalia Id umejiunga 23 yeye 19 nikajua sio wewe...
Tusamehe
Haimaanishi ya kujisifu, kuandika shida kupitia ID kuu inakufanya usiwe huru tena na ID, ukirumbana hoja watu wanaleta screenshot za kulia shida, pia kama hapo kaweka namba ya simu so hawezi kuwa Anonymous tena....So sio kwamba anajitamba kwa hio ID.Naunga mkono hoja au pengine I’d yake nyingine ni ya kujisifu,anaogopa wala watamshambulia.