Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka vyeti pembeni nenda na fani za ufundi, katika hiki kipindi ambacho unajaribu ku survive..Ndugu mm nimepita katika mfumo rasmi wa Kusoma from o levels,advance ,na chuo kikuu lakini nilishindw kumalizia chuo kutokana na changamoto za ada ata hvyo nipo on time frame,
Lakini mm naamini sana katika kujifunza,na kupambana ,
Ndugu nina skills za utundu katika computer na maswala ya umeme,
Maana huku mtaani unajichanganya popote
Yaani ana ropoka, ka jike la chura๐คฃ๐Mauzo ya mavazi ya 20m per month au siyo ๐
Hii kazi niliwahi kuifanya, nshawahi kukaa wiki nzima hakuna ht mtu wa kuja kuangalia nguo
M wa albino๐คฃ๐๐คTajiri huna baya
Na mkuu wa majobless ni Mimi ๐๐คฃWote humu ni jobless ๐๐
Wote humu ni jobless
Pole sana,but siyo muhimu KWA sasa kuotea ilร ni muhimu kunishika mkono ndogo wenuAngekuwa genta hata abadil i d yule bwana anajulikana kwa kujimwambafai na kufokafoka ila nyie wengine dah tunashindwa kuwaotea wewe nan
Nimefanya hvyo maana ,nilijua tu hata wale watu waliokaribu na mm KWA namna Moja au nyingine wasifungwe kunisaidia,nilitaka watu wote wawe huru Kwangu,Id yangu inamiaka Mingi wastani hvyo nimeshiriki kwenye mijadala mingi ambayo si busara kuweka utambulisho wazi kwa alimia miaUnawajua watu wa JF wewe? Hehee
Umeharibu kimtindo kukiri wazi una ID uliyoshindwa kuja nayo.
Asante mkuuPole sana mkuu
Hiyo siyo kazi halali mkuuKazi ya kuuza usingizi a.k.a kunyonyesha mbu unaweza? Shahara lak 180 kula kulala bure
Together brotherNaku elewa mkuu, sometimes Ina bidi uji shushe tu.
๐Nipo hapa jobless pro max, nothing to fear brother.
Naamini mkuuMkuu nina kipawa cha kumshawish mtu akupe kaz yoyote popote, iwe kampun, taasisi,ofs za kiselikar, nk so unaweza nitumia nimeshawahi waombea kaz vijana kadhaa taasisi kadhaa zikiwemo tra,6 kwenye mabenk wa 4, udereva 24, tra wa 5, nk, ila mwenyewe nikijiombea kaz siwez dumu, nimepiga sana miez miwili, ili nikutimizie lengo lako unapaswa unifanyie research ya muhusika kwenye taasis husika, mi nitatumia mbinu zangu na utapata kaz bila vyet wala malipo? Kama huamin hilo tulia hvyhvy mana usije wana wakasema, utapigwa,
Twende wote mkuu huko,utabarikiwa sanaAnd I shall be mkuu, with all this hustle am planting.
๐USI shituke 2035 Nika wemo kwenye list ya forbes
Sawa napokea ushauri, nitafanyia kazi.Pole , Ila kaa mbali na wanawake Kwa kipindi cha miaka mitatu hadi utoboe 30 yrs hii itakuondolea mikosi na nuksi katika MAISHA yako.
Utafanikiwa Mungu ni mwaminifu Sana.Sawa napokea ushauri, nitafanyia kazi.
Hata hvyo sipogi sana interest na wanawake,pombe wala kilevi chochote situmii
Ingawa mahusiano tu ya kawaida.