kinyaukitoto
Senior Member
- Oct 13, 2019
- 103
- 192
- Thread starter
-
- #21
Ndugu hata hiyo natamani,sana maana wa darasa langu wengi wametoka kutokana na ubora wa course ,pole sana kwa changamoto unazopitia
Nahisi ungefikiria pia Kuomba msaada wa kumalizia hiyo degree, kabla muda hauja enda sana
Hapana ni mind relaxation Id ,naheshimiana na wengi humuNaunga mkono hoja au pengine I’d yake nyingine ni ya kujisifu,anaogopa wala watamshambulia.
Dar es salaam mkuuTatizo haujasema unapatikana wapi.
Kwakweli,KAZI ni kipimo cha utu
Ubarikiwe mkuuNakuombea sana nitajitahidi nione vile nitasaidiaView attachment 2877699
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀Nakuhakikishia Kwa mama mzaa mm,mm siyo huyoUnaweza ukawa Mpwayungu Village wewe
Npo baruti mkuu,hapo ni mwendo kasi tuPolee kaka kama upo karibu na kigamboni njoo pm Iko wazi Kuna kitu tunaweza kuongea Mimi na wewe
Point Sana mdogo wangu . Unaonekana uko vzr kichwani fight ukipata kazi make fanya biashara wadau watakushika mkono. Kila la heriNdugu hata hiyo natamani,sana maana wa darasa langu wengi wametoka kutokana na ubora wa course ,
Lakini unawazaje Kusoma Wakati hata kula na kodi ni mtihani,ni rahisi ukishikwa mkono kujiendeleza hata Open university maana na wenyewe wanahiyo course ya clinical nutrition,
Lakini ata least ukipewa ndoano ni rahisi kuvua kuliko kupewa samaki,wakiisha utakosa chakula
Mbona niliwekaga bandiko langu ni vile lilifutwaga na hawa ma Mud, shida haina adabuWasikudanganye ukafichua ID yako maarufu, unawajua wabongo wewe, watakusuta hadi ufe.
Huna bayaNakuombea sana nitajitahidi nione vile nitasaidiaView attachment 2877699
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo mana mi naji itaga jobless, siku niki zidiwa nisi pigwe nyundo😂🤒Naunga mkono hoja au pengine I’d yake nyingine ni ya kujisifu,anaogopa wala watamshambulia.
Amina kaka🙏Point Sana mdogo wangu . Unaonekana uko vzr kichwani fight ukipata kazi make fanya biashara wadau watakushika mkono. Kila la heri
Kaka ndo maana mi naji itaga jobless pro max 😂.Pole sana mkuu hata mimi napitia changamoto kama hizo naogopa tu kusema zamani niliwahi kujichanganya nikajidai tajiri hapa jf
Dah kwakweliMbona niliwekaga bandiko langu ni vile lilifutwaga na hawa ma Mud, shida haina adabu