Dah! Nimeamini Kwenye Mpira uchawi upo, Sio kwa Alichokifanya Ivory Coast leo!

Dah! Nimeamini Kwenye Mpira uchawi upo, Sio kwa Alichokifanya Ivory Coast leo!

Mfalme_wa_Nyika

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2023
Posts
389
Reaction score
911
***** yaani Mali akanifanya nijione leo namkalisha kanji kipindi chote cha kwanza mpaka cha pili baada ya goli nikajiona nimemaliza kazi!

***** alooo Ivory coast walinishangaza kama mtu kavamiwa na nyuki, sio kwa boli lile jamani ule ni uchawi, yaani timu iko pungufu baada ya red card halafu mmezidiwa goli moja na hata kumiliki mpira mgeuke ghafla nakucheza boli la hatari!?

***** Ivory coast ule ni uchawi wametumia, sijawahi ona boli kali kama hilo walolipeleka yaani Mali tulikalishwa kuanzia tulipoifunga Ivory Coast na waliposawisha karibia dk ya 90 na halafu kutudunga mimba dakika ya mwishoni kabisa 119!? alooo hapo nikazidi kuamini kuwa hata Kanjibai nae mchawi....

Matumaini yote yangu kupata Milioni Tatu yakachanika pachuuuu yaani mechii hii tu leo imenichania mkeka!!😂😂

Ila no sweat kiukweli pesa nimekosa ila nimeenjoy boli yaani leo ndio mpira umepigwa ***** salute kwa Ivory Coast
 
Labda mimi sikuangalia mpira ama sikuangalia vyema kama wengine kina wewe
Ila mali kufungwa walijitakia dakika 35 za mwisho mali walicheza kwaku relax sana yaani utadhani wenyeji walikua kamili
Hata mpira urejewe mali atafungwa tu kwa ule mpira walokua wanaucheza pale
 
Labda mimi sikuangalia mpira ama sikuangalia vyema kama wengine kina wewe
Ila mali kufungwa walijitakia dakika 35 za mwisho mali walicheza kwaku relax sana yaani utadhani wenyeji walikua kamili
Hata mpira urejewe mali atafungwa tu kwa ule mpira walokua wanaucheza pale
ndio maana nakuambia kuwa dakika za mwisho Ivory coast waliushangaza ulimwengu
 
Kosa kubwa ambalo Mali walilifanya ni kuanza kulinda goli badala ya kuendelea kushambulia, lawama zote anabeba kocha, unatoa mshambuliaji ambaye alikuwa anasumbua hadi kusababisha kadi nyekundu ili ukalinde goli moja!

Alikuwa na hofu gani ilihali mpinzani wake alikuwa pungufu uwanjani, hivi sijui kwa nini hawa Makocha huwa wanaamini sana mbinu ya kujilinda baada ya kushinda, "Lawama abebe Kocha".
 
Kosa kubwa ambalo Mali walilifanya ni kuanza kulinda goli badala ya kuendelea kushambulia, lawama zote anabeba kocha, unatoa mshambuliaji ambaye alikuwa anasumbua hadi kusababisha kadi nyekundu ili ukalinde goli moja!

Alikuwa na hofu gani ilihali mpinzani wake alikuwa pungufu uwanjani, hivi sijui kwa nini hawa Makocha huwa wanaamini sana mbinu ya kujilinda baada ya kushinda, "Lawama abebe Kocha".
Ni km Taifa stars tu, eti Rais anawapongeza, kwa lipi? Wale ni aibu kwa Taifa, wavivu na hawana uzalendo kwa nchi. Ilitakiwa baada ya kurudi wafukuzwe wote timu ya Taifa, timu iundwe upya na watanzania wazalendo
 
Kosa kubwa ambalo Mali walilifanya ni kuanza kulinda goli badala ya kuendelea kushambulia, lawama zote anabeba kocha, unatoa mshambuliaji ambaye alikuwa anasumbua hadi kusababisha kadi nyekundu ili ukalinde goli moja!

Alikuwa na hofu gani ilihali mpinzani wake alikuwa pungufu uwanjani, hivi sijui kwa nini hawa Makocha huwa wanaamini sana mbinu ya kujilinda baada ya kushinda, "Lawama abebe Kocha".
we jamaa umetisha kwa hii analysis ...ni kweli kabisa ....sakayoko alikuwa ni mwiba kwa ivory coast hata mimi sikuelewa kwa nini atolewe
 
Kosa kubwa ambalo Mali walilifanya ni kuanza kulinda goli badala ya kuendelea kushambulia, lawama zote anabeba kocha, unatoa mshambuliaji ambaye alikuwa anasumbua hadi kusababisha kadi nyekundu ili ukalinde goli moja!

Alikuwa na hofu gani ilihali mpinzani wake alikuwa pungufu uwanjani, hivi sijui kwa nini hawa Makocha huwa wanaamini sana mbinu ya kujilinda baada ya kushinda, "Lawama abebe Kocha".
Ukisikia uchambuzi ndo huu sasa. Maneno machache lakini yamejaa ukweli. Hakuna wa kulaumiwa kwenye mechi ya Jana zaidi ya Kocha mwenyewe. Huyu ndo aliyeofanya Ivory coast iwe na Wachezaji 11 mbali ya kuwa na Kadi nyekundu ya mapema. Mali ilipokosa mshambuliaji msumbufu DM ikakosa kazi nyuma ikajibadili kuwa AM.
 
Back
Top Bottom