Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Nikupongeze Kwa kuelewa mapema na kupokea ushauri wa mdau.we jamaa umetisha kwa hii analysis ...ni kweli kabisa ....sakayoko alikuwa ni mwiba kwa ivory coast hata mimi sikuelewa kwa nini atolewe