Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Am cool person but sio wakuja na kuibiwa hakuna mwenyejiPole wamekuona wa kuja
Ndio kaka ila dah nashangΓ sanaVingine vyote viko salama lakini?π
Asante nimejikuta namshangaa cha kumfanya sina hasira zilikuwa mbali sanaWizi wa kizamani sana.
Wanategesha Mguu. Ukiwakanyaga tu, anakushika na kuanza kukutingisha. Maana yake anakuondolea concentration kwenye mifuko na begi lako...
Cm ikaendaDaaaah hii ishanikuta aiseeee
Jambo la kumshukuru MunguNdio kaka ila dah nashangΓ sana
Ila sio poa kabisa yaan sasaiv ningekuwa naliaJambo la kumshukuru Mungu
cool person hawaibiwi mkuuAm cool person but sio wakuja na kuibiwa hakuna mwenyeji
Pole sana mzee hawa watu hawana hurumamchezo huo nililambwa infinix ya ngama 2014 π π
hatari sana mzee, dah nilikua najitafuta kumbe natafutwaPole sana mzee hawa watu hawana huruma
Usingeona aibu kuja kufungua uzi wa kulia humu mtoto wa kiume?πIla sio poa kabisa yaan sasaiv ningekuwa nalia
Dah mkuu kwani kuibiwa kuna wakuja? Nipo dar kitambo sana ila sipendi sehemu zenye mikusanyiko mingi ya watu naenda kwasababu maalumcool person hawaibiwi mkuu
wewe kubali tu unajiona cool ukweli ni wakuja