Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
😃😃🤣🤣🤣Usingeona aibu kuja kufungua uzi wa kulia humu mtoto wa kiume?😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😃🤣🤣🤣Usingeona aibu kuja kufungua uzi wa kulia humu mtoto wa kiume?😅
Oooh... Nashanga zipo salama? Maana hapo amekuuliza vingine vipo salama. Unasema una shanga sana. Hizo usiwe unavaa ukienda kariakoo watakuibia nazo.Ndio kaka ila dah nashangà sana
Kwaza ningefungulia kupitia simu gani?Usingeona aibu kuja kufungua uzi wa kulia humu mtoto wa kiume?😅
Punguza matusi mzeeOooh... Nashanga zipo salama? Maana hapo amekuuliza vingine vipo salama. Unasema una shanga sana. Hizo usiwe unavaa ukienda kariakoo watakuibia nazo.
Hata kifaa kingine/hata kuazima Kwa vibinti vya majirani huchelewi 😅Kwaza ningefungulia kupitia simu gani?
Soma ulichoandika we mwenyewe. Mi siwezi kukutukana ndugu yanguPunguza matusi mzee
aiseeeeh😅🙌Oooh... Nashanga zipo salama? Maana hapo amekuuliza vingine vipo salama. Unasema una shanga sana. Hizo usiwe unavaa ukienda kariakoo watakuibia nazo.
Nimevaa official nimetoka jobApo muonekano wako umekuangusha hasa kwenye dress code [emoji3]
Hakuna kuchapia mzee acha izoSoma ulichoandika we mwenyewe. Mi siwezi kukutukana ndugu yangu
Hakuna kuchapia. Maana yake umefanya kusudi?Hakuna kuchapia mzee acha izo
Ahahahah muda uho ningekuwa nipo policeHata kifaa kingine/hata kuazima Kwa vibinti vya majirani huchelewi 😅
Dah ase sio poa watu wafanye kazi wizi sio kaziMara 2 wamenifanyia hivyo nikawadaka nikawakomalia wakarudisha 2008 na 2017
Inaonekana hata kujinyonga sababu ya kuibiwa basi unawezaAhahahah muda uho ningekuwa nipo police
Wale wezi ni ma expert,mimi nilikuwa nagombea basi na ni muda mfupi tu nilitoka kuishika simu ikiwa mfuko wa juu wa shati,ile nakaa kwenye kiti kushika mfukoni simu haipo nikachoka kabisa...Hellow
Mimi siku zote nilikuwa nikiambiwa watu wanaibiwa simu Kariakoo siamini nasemaga uzembe
Leo sasa yamenikuta mimi na bila yule kijana simu ingesepqa bila kujua dah
Mchezo ulikuwa ivi kaja kijana akaanza nikanyaga kwenye mgu uku anasema kuwa ungekanyagwa wewe namna hii ungejisikiaje sasa nikawa namshangaa na kujiuliza kumbe kuna mwezie kasha ingiza mkono mfukon anachukua simu wala sijui
Katokea kijana akaniita njoo mzee uchukue simu yako nashangaa na kujiuliza haya yametokeaje napewa simu uku mwizi akipigwa makofi nikashukuru basi nikasepa jamaa nampa hela kagoma bado najiuliza yametokeaje haya
Simu yangu bado mpya ata mwezi haijaisha
Msamehe mdogo wangu huyo,tatizo lake ubrazameeeeniiii mwingiAcha upuuzi kijana yaani mtu anakukanyaga bila sababu unamshangaa badala ya kumzibua makofi au ngumi... Na bado unapapaswa hadi cm inaibwa hujitambui... Vijana wa sikuhiz hopeless useless na bado unakuja kutusimulia ujinga wako