Ivi wewe unaijua hii Serikali au unajiongelesha tu.. Juzi tu kuna mfanyabiashara ameuziwa nyumba zake karibu tatu kwa kutokulipa kodi aliyokuwa anadaiwa na Serikali sembuse hao walioiba Pesa nyingi hivyo!?.. Hawawezi Ku survive hao hata kidogo, nilazima watalipa.. Hela ya magufuli haiendi kizembe namna hiyo