Dah! Wabongo wamepiga 194 billions kwa utafiti hewa kwenye shirika la reli

Eti hela zitarudishwa? Hii sio Tom and Jerry my friend.
 
Eti hela zitarudishwa? Hii sio Tom and Jerry my friend.
Ivi wewe unaijua hii Serikali au unajiongelesha tu.. Juzi tu kuna mfanyabiashara ameuziwa nyumba zake karibu tatu kwa kutokulipa kodi aliyokuwa anadaiwa na Serikali sembuse hao walioiba Pesa nyingi hivyo!?.. Hawawezi Ku survive hao hata kidogo, nilazima watalipa.. Hela ya magufuli haiendi kizembe namna hiyo
 
Unajisifu ujinga na upumbavu! Magu is a corrupt leader!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…