Dah! Wanajeshi wa SADC wanaondoka huku magaidi yenye mlengo wa kidini yakiongeza matukio Msumbiji

Hii maada inahusu nini? Sio dini wewe pimbi?
Mwenyewe ulivyo jeusiii tii kama tako la iddi Amin hapo ulipo unatamani kuwa mwarabu. Eti mmeahidiwa mkifa kwenye uislamu mnabadilika kuwa miarabu ndo maana mnajisugua na misteel wire na msasa kwenye mipaji yenu mieusii ili mpate sijdah kujihakikishia kuwa miarabu mkishakufa kwenye uislamu.


adriz Jagina
 

Nimecheka sana zaidi ya balaa!! Malaria 2 usijifanya haujaona hii.....
Kuna yule mwingine brazaj
 
SADC wameona hakueleweki eleweki.Magaidi si magaidi ni ushenzi tu wa mataifa ya kibeberu.
 
Tujiandae kuona mauaji zaidi mana wafuasi wa alla watakua free kutekeleza maagizo ya mungu na mtume wao,
 
SADC wameona hakueleweki eleweki.Magaidi si magaidi ni ushenzi tu wa mataifa ya kibeberu.

Hiyo dini ya wavaa Madera/kanzu imekua kero, kwa mnavyochinja wananchi wa Msumbiji yaani full maugaidi, ukizingatia kiaina huwa mnaingia kusini mwa Tanzania.
 
Kabla ya bush kutangaza mihimili ya uovu 2000 na kuanza kupambana nayo 2001-2013,dunia ilikua imetulia tu

Dunia haijawahi kutulia tangu huyo muarabu abuni dini yake, kumbuka alikua anachinja sana wayahudi.
 
Dunia haijawahi kutulia tangu huyo muarabu abuni dini yake, kumbuka alikua anachinja sana wayahudi.
Lini myahudi alichinjwa na mwarabu!?..unajua hata historia au umebugia chuki tu kujamba hovyo!?..wayahudi wanaishi arabuni kabla hata Muhammad hajazaliwa,wameishi na Muhammad na wameishi baada ya Muhammad, wameishi Sana uturuki wakiiamini Dola ya uturuki mpaka Ben gurion alipohamia ulaya na marekani Kama mabwana zake
 
Hiyo dini ya wavaa Madera/kanzu imekua kero, kwa mnavyochinja wananchi wa Msumbiji yaani full maugaidi, ukizingatia kiaina huwa mnaingia kusini mwa Tanzania.
Mbona mavazi yetu yanafanana na Papa Francis na ya Yesu mnaemchora.Wake zetu wanavaa karibu sawa na masisita.
Sasa sijui unazungumzia madera gani hayo na sijui kwanini unayabeza.Au wewe ni madhehebu za kisabato.
 
SADC wameona hakueleweki eleweki.Magaidi si magaidi ni ushenzi tu wa mataifa ya kibeberu.
Acheni upumbavu wa kutetea ugaidi kisa waliwaletea dini wakati wanaouawa ni waafrika ndugu zenu. Mwarabu hawezi kukusaidia kwa hali yoyote ile.
 

Tatizo umedandia dini ya muarabu bila kusoma kuihusu, unavaa dera/kanzu ufanane na muarabu hujiulizi imeanza anzaje.
Kaulize alichokifanya huyo muhammad kwa Wayahudi wa Banu Qurayza
 
Mbona mavazi yetu yanafanana na Papa Francis na ya Yesu mnaemchora.Wake zetu wanavaa karibu sawa na masisita.
Sasa sijui unazungumzia madera gani hayo na sijui kwanini unayabeza.Au wewe ni madhehebu za kisabato.

Papa Francis amevaa hayo mavazi huko kama kiongozi wa dini, ila wewe Mmatumbi umevaa hilo dera hata kwenye kazi za vibarua, kila siku unaburuza hilo dera eti ufanane na Muarabu.
 
Kifupi baadhi ya viongozi wa Msumbiji waafaidika na uwepo wa hao magaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…