fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Kabisaaa...wamlaumu mama yaoMama yao asingekula lile tunda pale eden, hayo yote yasingewakuta
Lolote liwakute tuuMtihani sana.
AiseeeKila baya unaloweza kulifikiri wewe, wanawake wanalipata, kupigwa, kubakwa, kuingiliwa kinyume cha maumbile, kudhulumiwa mali ya marehemu waume zao, kuombwa rushwa ya ngono wakiomba kazi au wanapokuwa na shida yoyote ile.
Kuzalishwa na kutelekezwa, kupigwa na waume zao kila siku, kuteswa na waume zao na watoto wao kwa madhila ya kila namna, kufanyishwa kazi mchana kutwa na usiku kucha, kuitwa malaya, wezi, mashetani na kila sifa mbaya.
Oh Mola wangu wahurimie viumbe wako wanawake
π₯΄π₯΄Lolote liwakute tuu
Babu yako alikupoteza mkuu.Kuna siku nilimuuliza Babu yangu kwanini wanaume wengi hufa mapema kuliko wanawake? akanijibu ni kwa sababu ya maovu wanayowatendea wanawake. Karma is a bitch!
Kumbuka kwamba kila kitu hupangwa na Mungu. It was planned.Mama yao asingekula lile tunda pale eden, hayo yote yasingewakuta
πππEva alishawakaanga kitambo
Mnastahili maana eva alimdharau adam.Acha tu mkuu,wanawake wanavumilia mengi sana hasa dharau za walimwengu
Hakumdharau bhana ila alikutana na ushawishi zaidi wa adamMnastahili maana eva alimdharau adam.
Sina uhakika na hilo sana ila kama mwanaume ukiishi vizuri na mkeo, mke anatakiwa kutangulia kufa na mwanaume achelewe. Hivi kama mwanamke ameumbwa kumtamani na kumtegemea mwanaume, iweje tegemeo afe alafu tegemezi aendele ku survive?Babu yako alikupoteza mkuu.