Ndio mana kuna vyama vya kutetea wanawake ndugu yangu, kwa kweli wanstahili sana kutetewa. Hakuna chama cha kutetea wanaume
Ila pamoja na yote kuna wanawake ni wakorofi hao balaa, wapo wachache wanawachapa makofi waume zao, angalau hao wanawawakilisha wenzao wengi wanaoonewa
Ila pamoja na yote kuna wanawake ni wakorofi hao balaa, wapo wachache wanawachapa makofi waume zao, angalau hao wanawawakilisha wenzao wengi wanaoonewa