Dah watangazaji wa clouds acheni hizo,duniani tunapita

rmo

Member
Joined
Nov 20, 2016
Posts
97
Reaction score
101
Naona ishu ya zamaradi mketema kuolewa na mtu mwingine na kumuacha boss wa clouds,haijamuuma Ruge pekeake,hata watangazaji wengine.
Zamaradi,achilia mbali harusi yake ya majuzi,leo ni birthday yake,lakini si clouds kama redio,wala watangazaji hata kumuwish tu.
Mbona mnapelekeshwa sana na huyo Ruge?Yaani hata maisha binafsi tu pia mnapangiwa na Ruge?
Dah hata millard ayo?
Acheni izo
 


Ruge hana mke? wabongo mnakuza vitu mpaka basi

wewe mchango, kadi ba zawadi ulizopeleka ziko wapi?
 
Ruge hana mke? wabongo mnakuza vitu mpaka basi

wewe mchango, kadi ba zawadi ulizopeleka ziko wapi?
kile kipindi cha shilawadu na RUGE wao wanaojidai FURSA inaanzia sokoni basi walikuwa tayri kwa hii stori wamepata fursa ya kujitangaza na WANGEANZIA KUMHOJI RUGE.Kipindiki kingepata umaarufu mara dufu kwa wao kuogopa kabisa kuzungumzia huu ubuyu imenipa shida sana kuamini kuamini mambo yao.na kwa watangazaji wao wanaojitambua wangeenda tu AZAM kama KIPANYA NA BERBIE KABAE ni wazuri.baadhi wengine ni kufuata upepop wa Ruge tu na hasa HASSAN NGOMA anajipendekeza sana na sio objective kwenye interviews ndio maana siku kabae anamuhoji MWIGULU ilibidi wamtume dukani kwani angekuwepo kwenye kipindi angejipendekeza kwa mwigulu na kuharibu mjadala
 
Duuuh
 
Wafanyakazi wa clouds hawana tofauti na wale wenyeviti waliokua wanapiga makofi kila neno alilolitamka mkulu
 
ndio ubaya wa kuajiriwa huu... sema hatuna jinsi tu.. mtoto wa bosi akija ofisini hata kama hajapendeza.. mnasema totooo umependeza sana na sana


hata wale mashost zake kama Gea na husna wamemchunia....hasimu wa boss ni hasimu wako pia utake usitake....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…