Huo ni utumwa kwa kwelihata wale mashost zake kama Gea na husna wamemchunia....hasimu wa boss ni hasimu wako pia utake usitake....
watakula wapi mkuu....ajira zao kashika ruge...Naona ishu ya zamaradi mketema kuolewa na mtu mwingine na kumuacha boss wa clouds,haijamuuma Ruge pekeake,hata watangazaji wengine.
Zamaradi,achilia mbali harusi yake ya majuzi,leo ni birthday yake,lakini si clouds kama redio,wala watangazaji hata kumuwish tu.
Mbona mnapelekeshwa sana na huyo Ruge?Yaani hata maisha binafsi tu pia mnapangiwa na Ruge?
Dah hata millard ayo?
Acheni izo
ni kweli aisee yaani ni kama wamepewa fadhila yaani waoga wote watangazaji.sidhani kama mtangazaji anayejitambua na ana vyeti poa atakaa kuwalamba miguu pale.wanaajiliwa kwasababu ya sauti tu halafu unakuja kumuhoji mtu ana madini kichwani utamwambia nini zaidi ya kumwambia achague mziki wa singeli.Nahisj wengi hapo hawana vyeti vya taaluma yao wanaogopa wakifurushwa wataenda wapi. Hapo wanafanya kwa vipaji
Politics?Wafanyakazi wa clouds hawana tofauti na wale wenyeviti waliokua wanapiga makofi kila neno alilolitamka mkulu
wapi huko nije kufanya?Kazi ipo
Lakini vijana wengi wanatamani kufanya pale ndiyo maana wataanzia kwingine na kumalizia paleKufanya kazi cloud's media ni utumwa
tehe tehe tehe kibitiwapi huko nije kufanya?
Sio bongo tu hata Ulaya hakuna uhuru wa habari kuna Uhuru wa wenye vyombo,pesa na mali Clouds Media Group haiwezi kumpinga Ruge kama IPP Media haiwezi kumpinga Mengi.kile kipindi cha shilawadu na RUGE wao wanaojidai FURSA inaanzia sokoni basi walikuwa tayri kwa hii stori wamepata fursa ya kujitangaza na WANGEANZIA KUMHOJI RUGE.Kipindiki kingepata umaarufu mara dufu kwa wao kuogopa kabisa kuzungumzia huu ubuyu imenipa shida sana kuamini kuamini mambo yao.na kwa watangazaji wao wanaojitambua wangeenda tu AZAM kama KIPANYA NA BERBIE KABAE ni wazuri.baadhi wengine ni kufuata upepop wa Ruge tu na hasa HASSAN NGOMA anajipendekeza sana na sio objective kwenye interviews ndio maana siku kabae anamuhoji MWIGULU ilibidi wamtume dukani kwani angekuwepo kwenye kipindi angejipendekeza kwa mwigulu na kuharibu mjadala