Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,175
- 4,299
Aisee ilizoeleka kuwa wakenya huja Tanzania kununua mazao na kuyapeleka kwao Kenya ila Hali sio hvyo kwasasa.
Wakulima wa Kenya wamejipanga na kuwezeshwa Sasa wameanza kuzalisha zaidi ya uwezo wao mazao kama nyanya, vitunguu na maharage kidogo kwenye mahindi wanashirikiana na wakulima wa Ethiopia, Malawi na Zambia.
Wiki iliopita tar 12 mach niliuza kreti ya nyanya kwa 35,000/= shambani hv ninavoandika tokea juzi hakuna mnunuzi anataka nyanya wote wamekimbilia nyanya Kenya, kama serikali na wizara ya kilimo inawalindaje wanachi wake hususani wakulima tena wanaolima mazao ambayo n ghali kuyalima pia yakikomaa hayatakiwi kusibiri Zaid ya kwenda kwenye matumizi husika.
Sasa hii hasara kwa wakulima wa ngare, ngabobo, nduruma, rombo, chekereni, kahe, bima kikafu, TPC newland, mtakuja, ruaha-mbuyuni ambayo tushaanza kupata katibu wa wizara kilimo, waziri wa kilimo, wakuu wa MKOA, wakuu wa wilaya husika tunaomba mpigie stop uingizeaji wa mazao ya mbogamboga hususani nyanya na kitunguu Ili kuokoa uchumi wa taifa na kumlinda mkulima mzawa.
Mwenye anaweza kufikisha ujumbe kwa wizara na waziri wa kilimo hata wakuu wa wilaya wa mipakan na Kenya naomba atusaidia mana tunaenda kutumia vibaya sana.
Tunaomba mamlaka ziingilie kati na kuweka utaratibu mzuri unaofaa katika ununuz na uuzaj wa mazao hapa nchini.
Wakulima wa Kenya wamejipanga na kuwezeshwa Sasa wameanza kuzalisha zaidi ya uwezo wao mazao kama nyanya, vitunguu na maharage kidogo kwenye mahindi wanashirikiana na wakulima wa Ethiopia, Malawi na Zambia.
Wiki iliopita tar 12 mach niliuza kreti ya nyanya kwa 35,000/= shambani hv ninavoandika tokea juzi hakuna mnunuzi anataka nyanya wote wamekimbilia nyanya Kenya, kama serikali na wizara ya kilimo inawalindaje wanachi wake hususani wakulima tena wanaolima mazao ambayo n ghali kuyalima pia yakikomaa hayatakiwi kusibiri Zaid ya kwenda kwenye matumizi husika.
Sasa hii hasara kwa wakulima wa ngare, ngabobo, nduruma, rombo, chekereni, kahe, bima kikafu, TPC newland, mtakuja, ruaha-mbuyuni ambayo tushaanza kupata katibu wa wizara kilimo, waziri wa kilimo, wakuu wa MKOA, wakuu wa wilaya husika tunaomba mpigie stop uingizeaji wa mazao ya mbogamboga hususani nyanya na kitunguu Ili kuokoa uchumi wa taifa na kumlinda mkulima mzawa.
Mwenye anaweza kufikisha ujumbe kwa wizara na waziri wa kilimo hata wakuu wa wilaya wa mipakan na Kenya naomba atusaidia mana tunaenda kutumia vibaya sana.
Tunaomba mamlaka ziingilie kati na kuweka utaratibu mzuri unaofaa katika ununuz na uuzaj wa mazao hapa nchini.