Dah! Yaan Tanzania imekuwa ya kutumia nyanya kutoka kenya kweli?

Dah! Yaan Tanzania imekuwa ya kutumia nyanya kutoka kenya kweli?

Street Hustler

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
2,175
Reaction score
4,299
Aisee ilizoeleka kuwa wakenya huja Tanzania kununua mazao na kuyapeleka kwao Kenya ila Hali sio hvyo kwasasa.

Wakulima wa Kenya wamejipanga na kuwezeshwa Sasa wameanza kuzalisha zaidi ya uwezo wao mazao kama nyanya, vitunguu na maharage kidogo kwenye mahindi wanashirikiana na wakulima wa Ethiopia, Malawi na Zambia.

Wiki iliopita tar 12 mach niliuza kreti ya nyanya kwa 35,000/= shambani hv ninavoandika tokea juzi hakuna mnunuzi anataka nyanya wote wamekimbilia nyanya Kenya, kama serikali na wizara ya kilimo inawalindaje wanachi wake hususani wakulima tena wanaolima mazao ambayo n ghali kuyalima pia yakikomaa hayatakiwi kusibiri Zaid ya kwenda kwenye matumizi husika.

Sasa hii hasara kwa wakulima wa ngare, ngabobo, nduruma, rombo, chekereni, kahe, bima kikafu, TPC newland, mtakuja, ruaha-mbuyuni ambayo tushaanza kupata katibu wa wizara kilimo, waziri wa kilimo, wakuu wa MKOA, wakuu wa wilaya husika tunaomba mpigie stop uingizeaji wa mazao ya mbogamboga hususani nyanya na kitunguu Ili kuokoa uchumi wa taifa na kumlinda mkulima mzawa.


Mwenye anaweza kufikisha ujumbe kwa wizara na waziri wa kilimo hata wakuu wa wilaya wa mipakan na Kenya naomba atusaidia mana tunaenda kutumia vibaya sana.


Tunaomba mamlaka ziingilie kati na kuweka utaratibu mzuri unaofaa katika ununuz na uuzaj wa mazao hapa nchini.
 
Huko Kenya Wana nunua kwa tsh ngapi? Na kusafirisha mpaka sokoni?

Nyie huko mipakani itakuwa bidhaa mnafata Kenya 🇰🇪

Tanzania masoko ni mengi peleka watu watanunua, ukiweza sindika uza
 
Huko Kenya Wana nunua kwa tsh ngapi? Na kusafirisha mpaka sokoni?

Nyie huko mipakani itakuwa bidhaa mnafata Kenya 🇰🇪

Tanzania masoko ni mengi peleka watu watanunua, ukiweza sindika uza
Shambani n KSH 600 kret sawa na TSH 12,000/= na hyo n Bei kubwa pia kreti la Kenya n karibu marambili ya Tanzania.

Ukisikia nyanya n habari ya kitaifa nasio sehemu Moja moja
 
Japo sikuisoma
ila Tanzania tumekwama kwenye food processing.

Na hata tukisinfika packaging materials zinatoka nyingi ni Kenya.

Mazao ya nyanya, nanasi etc yanaozea huko kwa wakulima.
Nakuhakikishia mambo ya Tanzania yasikie na kuyaona kama yalivyo vikwazo ni vingi kuliko jitihada hasa kutoka kwa mamlaka zinazotakiwa kukusaidia jambo lako either kisera au kifedha
 
Aisee ilizoeleka kuwa wakenya huja Tanzania kununua mazao na kuyapeleka kwao Kenya ila Hali sio hvyo kwasasa.

Wakulima wa Kenya wamejipanga na kuwezeshwa Sasa wameanza kuzalisha zaidi ya uwezo wao mazao kama nyanya, vitunguu na maharage kidogo kwenye mahindi wanashirikiana na wakulima wa Ethiopia, Malawi na Zambia.

Wiki iliopita tar 12 mach niliuza kreti ya nyanya kwa 35,000/= shambani hv ninavoandika tokea juzi hakuna mnunuzi anataka nyanya wote wamekimbilia nyanya Kenya, kama serikali na wizara ya kilimo inawalindaje wanachi wake hususani wakulima tena wanaolima mazao ambayo n ghali kuyalima pia yakikomaa hayatakiwi kusibiri Zaid ya kwenda kwenye matumizi husika.

Sasa hii hasara kwa wakulima wa ngare, ngabobo, nduruma, rombo, chekereni, kahe, bima kikafu, TPC newland, mtakuja, ruaha-mbuyuni ambayo tushaanza kupata katibu wa wizara kilimo, waziri wa kilimo, wakuu wa MKOA, wakuu wa wilaya husika tunaomba mpigie stop uingizeaji wa mazao ya mbogamboga hususani nyanya na kitunguu Ili kuokoa uchumi wa taifa na kumlinda mkulima mzawa.


Mwenye anaweza kufikisha ujumbe kwa wizara na waziri wa kilimo hata wakuu wa wilaya wa mipakan na Kenya naomba atusaidia mana tunaenda kutumia vibaya sana.


Tunaomba mamlaka ziingilie kati na kuweka utaratibu mzuri unaofaa katika ununuz na uuzaj wa mazao hapa nchini
Umelima aina gani ya nyanya
 
Unaweza nunua chochote kutoka nje ya nchi endapo tu vigezo na mashariti ya nchi vikizingatiwa...... Tunanunua na kuuziana vingi na ndugu zetu wakenya.
 
Tatizo sera za nchi yetu hazieleweki wakulima wanapambana sana shambani ila ukifika wakati wa kuvuna sasa ndio wanasiasa na wanaojiita bodi za usimamizi wanatoa matamko utasikia ooh.! marufuku kuuza nje ya nchi..ooh lazima muuze kwa bei elekezi..mkulima kuja kutoboa nchi hii ni ndoto kwani bodi za udhibiti ni nyingi wao wanajua kuweka tozo na faini tu vikwazo kibao na ndio wanaamua mazao yako ukauze wapi na bei gani.!
 
Back
Top Bottom