Dah! yani usiku wa kuamkia leo sijalala kwa raha kabisaaa

Dah! yani usiku wa kuamkia leo sijalala kwa raha kabisaaa

Louis II

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2018
Posts
3,030
Reaction score
4,647
Wapendwa!!!

Mimi ni shabiki wa simba damu
Ila Nmeota hivi
Al Masry-Simba 0-2
T.Rollers v Yanga 1-1
.
.

Wapendwa hapa kichwa kinauma kwa mawazo kwanini jirani zangu wafungashwe virago ilhali lile bwawa lao pale panapofugwa vyura hapapitiki kwa mafuriko?? Inauma sana....kiukweli ndoto hii naikemea kama pepo [HASHTAG]#lishindwe[/HASHTAG]
 
Wapendwa!!!

Mimi ni shabiki wa simba damu
Ila Nmeota hivi
Al Masry-Simba 2-0
T.Rollers v Yanga 1-1
.
.

Wapendwa hapa kichwa kinauma kwa mawazo kiukweli ndoto hii naikemea kama pepo [HASHTAG]#lishindwe[/HASHTAG]
Wachawi hawana.maana kabisa.
 
Wapendwa!!!

Mimi ni shabiki wa simba damu
Ila Nmeota hivi
Al Masry-Simba 0-2
T.Rollers v Yanga 1-1
.
.

Wapendwa hapa kichwa kinauma kwa mawazo kwanini jirani zangu wafungashwe virago ilhali lile bwawa lao pale panapofugwa vyura hapapitiki kwa mafuriko?? Inauma sana....kiukweli ndoto hii naikemea kama pepo [HASHTAG]#lishindwe[/HASHTAG]


Mungu ibariki al masry kwa matokeo ya 2 0.
 
Wapendwa!!!

Mimi ni shabiki wa simba damu
Ila Nmeota hivi
Al Masry-Simba 0-2
T.Rollers v Yanga 1-1
.
.

Wapendwa hapa kichwa kinauma kwa mawazo kwanini jirani zangu wafungashwe virago ilhali lile bwawa lao pale panapofugwa vyura hapapitiki kwa mafuriko?? Inauma sana....kiukweli ndoto hii naikemea kama pepo [HASHTAG]#lishindwe[/HASHTAG]
Matokeo yakiwa kama ulivyoota,basi nipigie kupitia namba 0753989302.demu wangu ni mkali balaa,tatizo anapenda sana ngono.hapa nilipo nimemkimbia ndani,naimani nikikuunganisha nae hawezi kukataa kwani ananiogopa sana
 
Back
Top Bottom