Picha zote za shughuli za mazishi alizo-post ni hizi hapa chini:
View attachment 517858
View attachment 517859
View attachment 517860
View attachment 517861
View attachment 517863
View attachment 517864
Haya nisaidie wewe sasa ili hatimae tuhitimishe ni nani kati yetu aliyekurupuka!!!
Ni ipi kati ya hizo picha ameshikwa makalio na kubinywa matiti?! Tena unadiriki kabisa kuandika icha "anazo-post" ameshikwa makalio, nyonyo... which means, ni zaidi ya moja!!! Yaani alikuwa ni full ku-post picha alizoshikwa makalio!!!
Na hapa usichanganye mambo... hakuna cha Team Mond wala Team nani hapa bali tunazungumzia haki ya mtu tena katika kipindi kigumu!!!
Hapa hata mtu kama Wema nishamtetea sana!!! Juzi tu hapa nilishasema kwanini watu wawe concerned na Linah kwa jambo lisilomuumiza yeyote na wala mtu sio ndugu yenu!!!
Labda na huyo Linah nae anahusika na masuala ya Mond!!