Dai mtazame Zari kwa jicho la 3

Dai mtazame Zari kwa jicho la 3

DAIMA ADUI WA MWANAMKE NI MWANAMKE MWENZIE

KUNA WANAUME WANAFIWA NA WAKE ZAO NA KISHA WANAOA NDANI YA MWEZI MMOJA ILA WALA HAWASEMWI VIBAYA ZAIDI YA KUSIFIWA

KASHESHE AFANYE HIVYO MWANAMKE ALIYEFIWA NA MUMEWE NDANI YA MWAKA MMOJA ATATUKANWA MATUSI YOOTEE,MASIMANGO TELE VIONGOZI WA WANAFIKI HAO WATUKANAJI NI WANAWAKE WENZAKE AISEE
View attachment 517504
#amwithzari#

Mwanaume hakai eda we bibi........anaweza hata kuacha maiti ndani akaenda kuoa huko kwingine akaja na mke mpya kuzika marehemu mkewe,NI MARUFUKU MWANAUME WA KISLAMU KUKAA BILA MKE,HASWA KAMA HANA SABABU YA KUFANYA HIVYO!
 
Naona unatoa povu we babu

Umesema mwanaume wa kiislam,mie mkristo hainihusu hio sheria
Mwanaume hakai eda we bibi........anaweza hata kuacha maiti ndani akaenda kuoa huko kwingine akaja na mke mpya kuzika marehemu mkewe,NI MARUFUKU MWANAUME WA KISLAMU KUKAA BILA MKE,HASWA KAMA HANA SABABU YA KUFANYA HIVYO!
 
True fact,watakaokupinga wanaongozwa na chuki dhidi ya zari,kavumilia mengi sana
Umeongea vyema sana, halafu sijui kwa nini inaonekana Zari alimuacha Ivan na sio Ivan alisababsha ndoa yao kwisha? Yaani zari avumilie vituko ndani ya nyumba kwa sababu tu kuna hela? Mara ngapi Ivan alikuwa anatoa maneno ya shombo kuhusu Zari? Alifikia hata kuvujisha video ya Zari akijitia na dude la bandia?! A mesababisha ndoa kufa kwa ajili ya kuamini kwenye pesa Zari kuanza maisha mapya akaumia tena, yaani Ivan alitaka Zari aharibikiwe maisha ndio iwe furaha yake kwamba alimuweka mjini, halafu kwani Zari alijua Ivan atakufa lini yeye awe mrithi? Asilaumiwe kwa lolote.
 
Ya kwako yanakushinda ya wenzako utayawezea wapi?
 
Habari zenu wana jamvi...

Kabla ya kuanza kueleza ni kwa nini nimeamua kuandika uzi huu,natoa angalizo(Sina team so tusitukanane)Hoja hujibiwa kwa hoja.

Niende direct kwenye mada,Binafsi nieona watu wakimsifia Zari na kumuita mwanamke Shujaa ama shupavu,lakini nimekuja kugundua kuwa mwanamke wa kweli hapaswi kuwa na haiba kama ya Zari.Nasema hivi kwa sababu zifuatazo...

1) Amefiwa na mtu aliyeishi naye pika pakua kwa zaidi ya miaka 10 lakini alikuwa na nguvu ya kupost picha mtandaoni(Siyo moja)na captions juu wakati bado mazishi hayajafanyika

2) Jana kwenye kipindi cha Amplifier alihojiwa na Millard na alikuwa anaonge kwa kujiamini na sauti yake haikusikika kuwa na majonzi hata kidogo(Note:Angekuwa mwanamke mwingine angekuwa bado yuko down sana na pengine angeshindwa hata kuongea kwenye Interview)

3) Ni opportunist Mzuri sana,Kama aliweza kuzaa na Ivan watoto watatu na akapata ujasiri wa kumuacha na kwenda kwa wanaume wengine,,basi hata Dai anaweza kukuacha vile vile(Anachojua yeye ni kuwa once yo dating a rich guy,future yako na watotot wako ni ya uhakika)Mfano halisi ni sasa,aliitwa Zari the boss lady sababu ya jeuri ya fedha za Ivan,now ataitwa Zari the Don sababu ya jeuri ya fedha za Ivan pia

4) Siamini ndani ya moyo wangu kama Zari alimpenda Diamond kama Diamond,naamini ile fame ya Dai ndo iliyomvuta yeye kuwa na Dai(Na kwa hili amefariki,kwa sasa Zari ni moja ya wanawake maarufu sana Africa)So Dai watch out you never know siku fame ikiisha,je atastick up na wewe au atamove on huku akiendelea kupata child support?Ukitaka kuprove hili,jiulize ni kwa nini kipindi kile mna mgogoro mpaka mama Dai akampost Wema(Japo Maza alifanya uswahili kwa hili) Hujiulizi ni kwa nini Zari alikimbilia kushika mimba nyingine wakati Tifa alikuwa bado mdogo sana?

5) Katika malezi nimeona ana mazuri yake kama vile kuwafundisha watotot wake kujitegemea wakiwa bado wadogo lakini nimegundua pia siyo mama mzuri pia,Mama anayejisheshimu hasa wa KIAFRIKA hawezi kupiga picha anakulana denda au kashikwa ta*k*o kisha akapost mtandaoni wakati watoto wake n wakubwa,na kibay zaidi anayemshika hivyosiyo baba yao na ni mtu ambayee hawezi kuwa baba yao hata katika maisha halisi zaidi kuwa kaka yao.

Namalizia kwa kusema hivi,Japo Zari ana roho ngumu lakini ana mazuri yake pia,Huyu mwanamke ni msafi,unaweza ukathibitisha hili kuptia picha zake,Sebule yake ni safii,Wardrobe yake poa kabisaa lakini hata yeye anajipenda sana jao she's acting like an 18 girl wakati ni mama mtu mzima anayepaswa kukaa akibehave ili wanae wajifunze kutoka kwake.

Mchana mwema wapendwa
Uliyosema yote ni kweli.
 
Ah! My best friend wangu wewe siku hizi huadimiki JF?! Ushamaliza mock exams nini 😀😀?!!
Umenichoka asee mi wa mock[emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji15] [emoji31]
 
Hahaha yule mtoto ni wa Dai jamani,waangalieni lips zile
Hata tifa mlisema sio wke,sijui shida ni nini hivi wewe ukiambiwa baba yko unaemjua sio baba yko halisi utajisikiaje.....diamond sio boya kiasi hicho abambikiwe mtoto
 
Kwahiyo yule aliyekua analia msibani ni mama yako mzazi...au bibi yako....
Ulitaka agale gale..
Nyie tatizo mnalia kwa sifa...
Msibani ht kuoga hamtaki kuoga eti mna uchungu...
Kwanza kwa kawaida kulia sna ni kukufuru Mungu...
Ulitaka alieje...
Acheni wivu wanawake
Hao akili zao wanazijua wenyewe wao kazi ni kumsema huyo zari,wengine hpo utakuta hawajui hata baba zao.....
 
Post yote hii tatizo ni Utajiri wa Diamond! Angekuwa Kapuku asingeshauriwa. Mbona hajashauriwa mime mpya wa Flora Mmbasha? Jaki Pungufu hakushauriwa pia. Zari anawaumiza sana wadada wengi roho kwa Bahati aliyojaliwa ya kupata Rich and Famous men, Watoto wazuri na wanaotunzwa vizuri, kwenye makazi bora, mavazi na chakula bora, Elimu ya kueleweka. Halafu mama yao bado bomba shining! Nani akifiwa na baba Watoto wake watatu ghafla hawezi kumlilia? Watoto watakuchukuliaje? Zari amefanya Ubinadamu na ndivyo ilivyo. Zari na Diamond Piga kazi mapenzi ni yenu, Watoto wenu, Mali zenu. You never know mnaweza team up Mali na Family yenu mkaishia kuwa the best Blended Family in Africa.[HASHTAG]#iamwithzari[/HASHTAG]&dai#
 
Habari zenu wana jamvi...

Kabla ya kuanza kueleza ni kwa nini nimeamua kuandika uzi huu,natoa angalizo(Sina team so tusitukanane)Hoja hujibiwa kwa hoja.

Niende direct kwenye mada,Binafsi nieona watu wakimsifia Zari na kumuita mwanamke Shujaa ama shupavu,lakini nimekuja kugundua kuwa mwanamke wa kweli hapaswi kuwa na haiba kama ya Zari.Nasema hivi kwa sababu zifuatazo...

1) Amefiwa na mtu aliyeishi naye pika pakua kwa zaidi ya miaka 10 lakini alikuwa na nguvu ya kupost picha mtandaoni(Siyo moja)na captions juu wakati bado mazishi hayajafanyika

2) Jana kwenye kipindi cha Amplifier alihojiwa na Millard na alikuwa anaonge kwa kujiamini na sauti yake haikusikika kuwa na majonzi hata kidogo(Note:Angekuwa mwanamke mwingine angekuwa bado yuko down sana na pengine angeshindwa hata kuongea kwenye Interview)

3) Ni opportunist Mzuri sana,Kama aliweza kuzaa na Ivan watoto watatu na akapata ujasiri wa kumuacha na kwenda kwa wanaume wengine,,basi hata Dai anaweza kukuacha vile vile(Anachojua yeye ni kuwa once yo dating a rich guy,future yako na watotot wako ni ya uhakika)Mfano halisi ni sasa,aliitwa Zari the boss lady sababu ya jeuri ya fedha za Ivan,now ataitwa Zari the Don sababu ya jeuri ya fedha za Ivan pia

4) Siamini ndani ya moyo wangu kama Zari alimpenda Diamond kama Diamond,naamini ile fame ya Dai ndo iliyomvuta yeye kuwa na Dai(Na kwa hili amefariki,kwa sasa Zari ni moja ya wanawake maarufu sana Africa)So Dai watch out you never know siku fame ikiisha,je atastick up na wewe au atamove on huku akiendelea kupata child support?Ukitaka kuprove hili,jiulize ni kwa nini kipindi kile mna mgogoro mpaka mama Dai akampost Wema(Japo Maza alifanya uswahili kwa hili) Hujiulizi ni kwa nini Zari alikimbilia kushika mimba nyingine wakati Tifa alikuwa bado mdogo sana?

5) Katika malezi nimeona ana mazuri yake kama vile kuwafundisha watotot wake kujitegemea wakiwa bado wadogo lakini nimegundua pia siyo mama mzuri pia,Mama anayejisheshimu hasa wa KIAFRIKA hawezi kupiga picha anakulana denda au kashikwa ta*k*o kisha akapost mtandaoni wakati watoto wake n wakubwa,na kibay zaidi anayemshika hivyosiyo baba yao na ni mtu ambayee hawezi kuwa baba yao hata katika maisha halisi zaidi kuwa kaka yao.

Namalizia kwa kusema hivi,Japo Zari ana roho ngumu lakini ana mazuri yake pia,Huyu mwanamke ni msafi,unaweza ukathibitisha hili kuptia picha zake,Sebule yake ni safii,Wardrobe yake poa kabisaa lakini hata yeye anajipenda sana jao she's acting like an 18 girl wakati ni mama mtu mzima anayepaswa kukaa akibehave ili wanae wajifunze kutoka kwake.

Mchana mwema wapendwa
Kama kutonyoa vuzi ni usafi basi,Zari ni msafi kuliko wanawake wote duniani
 
Back
Top Bottom