Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duuh.kweli we kiazi tena cheleema😛😛 cha kuchoma vitu vingine kama huvielewi sio dhambi kukaa kimya sio lazima uwe unapost ujinga tu ili tujue upo active unaweza ukasalimia tu inatosha"POOR KENYAN"Leo hii confirmation imetoka ulaya.
Gazeti la Daily Mail limetangaza kwamba Everton imetua 'the fishing village of Dar es Salaam'.
Tumeambia hawa watanzania mara mingi bila mafanikio.
Leo hii mmeambiwa na neutral party. Dar es Salaam ni kijiji.
Kweli LDC mna kibarua.
View attachment 540806
Hao wazungu wamewathalau sanaPlease provide a source of your information, because i search your article everywhere but could find the proof.
Here is what genuine daily mail article about this topic:- Everton have touched down in Tanzania ahead of their first pre-season friendly, with Wayne Rooney and Co welcomed by hoards of supporters as they arrived in the coastal city of Dar Es Salaam, not fishing village.
Read more: Rooney and Bolasie mark Everton's presence in Tanzania | Daily Mail Online
They will still find the way to make Africa look small.Na hope Gor ichape Everton tuone vile wataandika
sent from iPhone 7
Kuna mda mihemko inakuzidi sana unasahau point za maana!another point of view from a neutral individual
View attachment 541278
tanzanians always lie to themselves that their country is 'big stuff..'well sorry to burst ur bubbles neighbors, tz aint shit esp when it comes to the continental and global stages...most foreigners see tz as just a poor country with wild animals..in essence, stop comparing dar to nai
Jay, we unajichanganya mwenyewe tu! Ukitafuta maandiko yaliyofanyiwa utafiti wa kisomi utakuwa unakutana na tz kila sehemu!
Jiji la Dar Es Salaam, huwezi kulilinganisha hata na vimji vidogo Western Europe, lipo lipo tu, halina Trams, Tubes, Public Transport yenyewe ya kubabaisha, Train ya kubabaisha mno, hakuna hata Fly over moja, hakuna hata cameras barabarani za speed/ hakuna hata cameras za usalama wa raia kwenye mitaa, polisi kutwa kutembea na SMG sijuwi kutishia raia au usalama, matope/michanga mingi! pavements za kubabaisha, maghorofa machache tu yenye underground parking, hakuna hata maghorofa 2 au hata 3 ya ku park tu magari, Teksi za hovyo, miundo mbinu ndio usiseme, maji shida, umeme shida, uchafu, mifereji hovyo, barabara ziko hazardous dereva anaendesha huku pembeni anachungulia mahandaki, pot holes/mashimo ndio usiseme, restarurant za kubabaisha, hoteli bom kuanzia zilivyo mpaka services (achana na zile 3 au 4), Traffic lights mara zinafanya kazi mara hazifanyi, rushwa na polisi wa traffic nje nje (mpaka wengine wana tochi zao!), viwanja vya mpira waweza sema ni kimoja tu (kwa watu 8m/=!)...Kila kitu manual, lazima ukutane na mtu kwenye services, ubabaishaji mwingi, park za kupumzika zilikuwepo at least wakati wa uhuru, sasa hivi hata moja ya maana hakuna...
Msiwalaumu hawa wanaosema kwamba hiki ni kijiji cha uvuvi, tembeeni ughaibuni, rudini, ndipo mtaona tofauti, hakuna kitu hapa, kwao ni kama kijiji tu..
Mara nyingi watu wasio na maono huona negativity to katika kila kitu., sio kweli kwamba Jiji La dar lina mapungufu tu 100% halina hata jambo moja jema kwako kama ulivyobainisha hapa,Jiji la Dar Es Salaam, huwezi kulilinganisha hata na vimji vidogo Western Europe, lipo lipo tu, halina Trams, Tubes, Public Transport yenyewe ya kubabaisha, Train ya kubabaisha mno, hakuna hata Fly over moja, hakuna hata cameras barabarani za speed/ hakuna hata cameras za usalama wa raia kwenye mitaa, polisi kutwa kutembea na SMG sijuwi kutishia raia au usalama, matope/michanga mingi! pavements za kubabaisha, maghorofa machache tu yenye underground parking, hakuna hata maghorofa 2 au hata 3 ya ku park tu magari, Teksi za hovyo, miundo mbinu ndio usiseme, maji shida, umeme shida, uchafu, mifereji hovyo, barabara ziko hazardous dereva anaendesha huku pembeni anachungulia mahandaki, pot holes/mashimo ndio usiseme, restarurant za kubabaisha, hoteli bom kuanzia zilivyo mpaka services (achana na zile 3 au 4), Traffic lights mara zinafanya kazi mara hazifanyi, rushwa na polisi wa traffic nje nje (mpaka wengine wana tochi zao!), viwanja vya mpira waweza sema ni kimoja tu (kwa watu 8m/=!)...Kila kitu manual, lazima ukutane na mtu kwenye services, ubabaishaji mwingi, park za kupumzika zilikuwepo at least wakati wa uhuru, sasa hivi hata moja ya maana hakuna...
Msiwalaumu hawa wanaosema kwamba hiki ni kijiji cha uvuvi, tembeeni ughaibuni, rudini, ndipo mtaona tofauti, hakuna kitu hapa, kwao ni kama kijiji tu..
Jiji la Dar Es Salaam, huwezi kulilinganisha hata na vimji vidogo Western Europe, lipo lipo tu, halina Trams, Tubes, Public Transport yenyewe ya kubabaisha, Train ya kubabaisha mno, hakuna hata Fly over moja, hakuna hata cameras barabarani za speed/ hakuna hata cameras za usalama wa raia kwenye mitaa, polisi kutwa kutembea na SMG sijuwi kutishia raia au usalama, matope/michanga mingi! pavements za kubabaisha, maghorofa machache tu yenye underground parking, hakuna hata maghorofa 2 au hata 3 ya ku park tu magari, Teksi za hovyo, miundo mbinu ndio usiseme, maji shida, umeme shida, uchafu, mifereji hovyo, barabara ziko hazardous dereva anaendesha huku pembeni anachungulia mahandaki, pot holes/mashimo ndio usiseme, restarurant za kubabaisha, hoteli bom kuanzia zilivyo mpaka services (achana na zile 3 au 4), Traffic lights mara zinafanya kazi mara hazifanyi, rushwa na polisi wa traffic nje nje (mpaka wengine wana tochi zao!), viwanja vya mpira waweza sema ni kimoja tu (kwa watu 8m/=!)...Kila kitu manual, lazima ukutane na mtu kwenye services, ubabaishaji mwingi, park za kupumzika zilikuwepo at least wakati wa uhuru, sasa hivi hata moja ya maana hakuna...
Msiwalaumu hawa wanaosema kwamba hiki ni kijiji cha uvuvi, tembeeni ughaibuni, rudini, ndipo mtaona tofauti, hakuna kitu hapa, kwao ni kama kijiji tu..