Daily Mail yatangaza - The Fishing Village of Dar es Salaam. Nairobi vs Dar Debate Over

Daily Mail yatangaza - The Fishing Village of Dar es Salaam. Nairobi vs Dar Debate Over

download.jpg
download.jpg
download.jpg
download.jpg
 
Aisei hii analysis ni kali, inafaa mtu kuisoma mara kadhaa.... cc: Toyota escudo Mwanzi1
Mwambie kuwa huko kwenye slums za London, mwaka jana BBC wamekuta watu 31 wamejazana chumba kimoja!

Halafu huko ndo anatwambia twende tukajifunze! Pathetic CC jebs2002


A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Na hii imewagharimu, USA, UK New Zealand na German wamekataa kwenda kwenye mashindano ya IAAF yanayoendelea Kenya

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
hayo hawayasemi hawa jamaa wako obsessed sana na Tz aisee, kumbuka will smith alivyokuja serengeti wakawa wanapost pics na kudai yupo masai mara,what the F is wrong with these dudes,ingekuwa hao athletics wamekataa kuja TZ sababu ya terrorism sijui ingekuwaje..TERROR HOTBED
 
Capture.JPG
Idiots kabisa,nakumbuka hata binti ya Raila alisema Olduvai Gorge ipo kenya,kwendeni hukooooo mnaiba mpaka uwanja????
 
Usifananishe akili yako na ya huyo mzungu unajiaibisha

The world’s fastest growing cities

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.

Cmon Toyota, u are better than this. You are showing us the projected population growth instead of development.

Is it a desirable thing for the population of Tanzania to grow soo rapidly, but not in tandem with ratd of the economic and development growth of the city?

I think any sensible person should be very concerned by this.

NB: I am not hating on Dar, I am quite insensed by that article, the aattitude of tge western press always portraying our continent negatively.
Whether Nai is better than Dar or not is beside the point. Dar is no fishing village.
That was wrong, it it should be firmly condemned.
 
hayo hawayasemi hawa jamaa wako obsessed sana na Tz aisee, kumbuka will smith alivyokuja serengeti wakawa wanapost pics na kudai yupo masai mara,what the F is wrong with these dudes,ingekuwa hao athletics wamekataa kuja TZ sababu ya terrorism sijui ingekuwaje..TERROR HOTBED
Ndo maana sa hz tunawapa za uso

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Lakini sisi wakenya inabidi tujitazame upya. Kwa nini kils kizur cha bongo tunataka kiwe cha kwetu? Mara mlima mara daraja kha! This isnt good at all.tunajidhalaliisha buana. Tunasemwa lakini why no changes.

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Lakini sisi wakenya inabidi tujitazame upya. Kwa nini kils kizur cha bongo tunataka kiwe cha kwetu? Mara mlima mara daraja kha! This isnt good at all.tunajidhalaliisha buana. Tunasemwa lakini why no changes.

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Mama
 
Inamaanisha mwandishi hakuwa impressed na Dar es Salaam. Kwake, hakuona ikiwa kiwango cha city.
Na hili ni jambo tumekuwa tukimwambia mkilinganisha Dar na Nairobi.
Kumbuka hata nairobi ilikuwa ni mbuga ya wafugaji wa kimasai kabla ya kuendelezwa ,sasa cha ajabu ni nini?
 
Well they made mistake and correct it according to the article you have provided. If you know anything about daily mail it is one of the worst newspaper in the world when you want to find the truth or for any serious quality journalism. The Times, The Guardian, The Telegraph, New York times, Washington Post will not make this kind of mistake.

Wewe wacha kundanya watu bwana. I read the New York Times and Wall Street Journal every week and they always have a small section titled "Corrections & Amplifications" where they correct the mistakes they made from the previous edition.To err is simply human so please stop elevating these western papers to demi-gods infallible status.
 
Wewe wacha kundanya watu bwana. I read the New York Times and Wall Street Journal every week and they always have a small section titled "Corrections & Amplifications" where they correct the mistakes they made from the previous edition.To err is simply human so please stop elevating these western papers to demi-gods infallible status.

Be clear, what is it you are trying to say, what is your beef bro? Try to be coherent, back up your ideas. I will take it from there ( your response).
 
Nahisi hizi mijadala humu za Tz vs Ke zimebebwa na chuki+wivu
 
Back
Top Bottom