Daily News: Zaidi ya watu milioni 10 nchini wanaweza kushtakiwa kwa kutumia VPN

Daily News: Zaidi ya watu milioni 10 nchini wanaweza kushtakiwa kwa kutumia VPN

Waanze kujenga magareza kwanza maana yaliyopo hayatatosha kutufunga wote.
Alaf wakishatufunga waangalie namna gani watapata kodi kwakuwa wengi tutakuwa jela, sijui hizo VX wataweka mafuta kwa hela ya nani? Na posho watajilipa kwa hela ya nani?

Wafanye haraka watufunge.
Hawana haja ya kujenga gereza....
manake ni wengi...
wazungushe wigo Tz nzima
 
Ingependeza zaidi kwa wale waliojihusisha na matukano, pia maisha ya dunia yetu kwa sasa watu wengi huitaji mtandao si kwa ajili ya kutizama mambo yao ya kisiasa watu wengi hutumia mtandao kwa ajili ya kuendeshea biashara zao mbalimbali au opotunuty seekers ajira na kadhalika just imagine once you decide to bind that man from networking?


Njia rahisi ni hii:
nenda Psiphon | Uncensored Internet access for Windows and Mobile uchukue psiphone.
Ni programu ndogo. Ilibuniwa kwa watu katika nchi kama China na Iran ambako serikali zinalenga kuzuia kila kitu mtandaoni.
Si app, kwa hiyo si rahisi kuigundua wakati mtu anashika simu yako na kuiangalia.
Baada ya download, kopi katima folder fulani, haitatambuliwa kirahisi. Futa kwenye download.

Inafaya vizuri. Unaweza kuchagua nchi ulipo. Hii inasaidia wakati unataka kuangalia ukurasa unapoambiwa THIS IS NOT FOR YOUR COUNTRY. Unachagua tu upo Marekani, Uingereza, wapi.
Inaweza kukwama wakati intanet haina spidi.
 
Back
Top Bottom