Daima mbele nyuma mwiko, huu msemo ubadilishwe mapema.

Umeleta uzi wa mwiko ulitarajia unyweshwe uji wa ulezi?Bado haujayaelewa ya mpira.Kaa vizuri mwiko utolewe.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi nina mwiko wangu ambao ukiutaka nakuletea[emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi wabongo mnawaelewa vizuri kweli?? siku yakikukuta ya mwiko utanielewa
 
Hivi wabongo mnawaelewa vizuri kweli?? siku yakikukuta ya mwiko utanielewa
Wewe umeanza lini kushabikia mpira? Utani ni mambo ya kawaida na hutaniwi wewe peke yako. Kwahiyo kaa kwa kutulia na tuliza hisia zako hatuwezi kubadilisha msemo wa club kisa mmekerana huko mtaani kwenu.
 
Ni rahisi kubadili dini lakini sio rahisi kubadili kabila lako la asili..

Yanga imetoka kwenye mabadiliko mengi,,
Yanga kandambili ,
Yanga Raizoni

Lakini slogan ya daima mbele NYUMA MWIKO ipo pale pale..
And it will Neve change...


Na huo mwiko huko nyuma ndy wapinzani wenu wanautumia kuwadhoofisha kila mkikutana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…