Rule L
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 1,846
- 2,754
Kwa dhati kabisa ninauomba uongozi wa yanga,, ukae chini ubadilishe hii slogan ya daima mbele nyuma mwiko.
Slogan hiyo imekua ikitumika vibaya kututusi wanayanga kwamba tunatembea na mwiko,, kitu ambacho ni tofauti na maana iliyodhamiriwa.
Saivi huku mtaani na mitandaoni tunapata shida sana kwakweli. Kila mara imekua mwiko mwiko.
Napendekeza msemo huu usemao : KWETU USHINDI DAIMA au USHINDI DAIMA. Mambo ya mwiko tumeyachoka
Slogan hiyo imekua ikitumika vibaya kututusi wanayanga kwamba tunatembea na mwiko,, kitu ambacho ni tofauti na maana iliyodhamiriwa.
Saivi huku mtaani na mitandaoni tunapata shida sana kwakweli. Kila mara imekua mwiko mwiko.
Napendekeza msemo huu usemao : KWETU USHINDI DAIMA au USHINDI DAIMA. Mambo ya mwiko tumeyachoka