Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
InapendezaMtu mwema mkuu
Hahahaalipiga hesabu zikakataa😂 dunia hii bwana watu wanapenda vya bila kusotea
Ungechukua hilo sanduku kwa kuwapora ndio ungejua dunia iko je! Wamejizindika mamaye!Sikuwadharau mkuu ila niliwachukulia poa, tunapambana na wateja wa aina tofauti tofauti hii inatufanya kuchukulia watu wengine poa,
Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Hi tabia wanayo Sana watanzania, Kuna mwaka nilienda bank nipo rafurafu nilitokea kwenye pilika, Basi wengi walikuwa wanaweka vizuri mikoba yao ya pesa, walihisi jambazi au kibaka kaingia, Mara akiingia mshkaji tulifanya biashara kaja kutulipia mzigo wa haja benki, aisee wakabakia na mshangao, maana ilimwagwa miburungutu ya pesa,Labda ni wachimbaji wa Madini. Swali, kwanini umzarau mtu Kwa mwonekano wake na si matendo?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kuna siku nipo ktk hiace karume kuelekea home. Nimekaa ktk bansen burner. Ile kwanza nyuma ya dereva. Upepo mkali nikafunga kioo. Kuna jamaa alikuwa amekaa mbele yangu aliniuliza swali kuwa nina elimu gani?
Yaani umri wangu ulikuwa mdogo wa sekondari then aliniuliza lile swali.
Nikatafakari sana..kwamba umri huu nilitakiwa kuwa na elimu gani ili niweze kujibu kulingana na matakwa ya huyu ndezi. Kiukweli niliumizwa sana na zile dharau tena jamaa alikuwa mkubwa Sana ki umri. Niliamua kukaa kimya. Ila nilikuwa na hasira sana. Sijasahau ile dharau.
Sidhani, kwa miaka ile kazi ya usalama haipatikani kwa style ile wewe...jamaa alitaka nifungue kioo. Na ilibidi nifungue.Ulijukosesha kaz ya Usalama kijinga[emoji16][emoji38][emoji38]
Ukiwa kawaida watu wanakuona kama haupo sawa ila mwishowe ndio wanapata majibu halisi.Hi tabia wanayo Sana watanzania, Kuna mwaka nilienda bank nipo rafurafu nilitokea kwenye pilika, Basi wengi walikuwa wanaweka vizuri mikoba yao ya pesa, walihisi jambazi au kibaka kaingia, Mara akiingia mshkaji tulifanya biashara kaja kutulipia mzigo wa haja benki, aisee wakabakia na mshangao, maana ilimwagwa miburungutu ya pesa,
wamekalili hivyoUkiwa kawaida watu wanakuona kama haupo sawa ila mwishowe ndio wanapata majibu halisi.
Wengi wanajua ukienda mjini lazima uoge na upendeze.