Daima usimdharau usiyemjua, mwenzenu leo nimekutwa na jambo

Daima usimdharau usiyemjua, mwenzenu leo nimekutwa na jambo

Hao wachimbaji wa dhahabu. Hapo wamepiga hela sasa
 
Wauza nguo, viatu, simu sijui, watengenezaji keki, wauza maduka ya vipodozi,wapambaji wa maharusi,ma MC, makarani wa sensa( mliopata),ma HR, motivational speakers,HV HUWA MNARINGIA NINI????
 
Ko kijana umenyuka pamba kali za dukani kwako unaanza kudharau wakulima au umesahau mahindi yana bei mwaka huu?
 
Labda ni wachimbaji wa Madini. Swali, kwanini umzarau mtu Kwa mwonekano wake na si matendo?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hi tabia wanayo Sana watanzania, Kuna mwaka nilienda bank nipo rafurafu nilitokea kwenye pilika, Basi wengi walikuwa wanaweka vizuri mikoba yao ya pesa, walihisi jambazi au kibaka kaingia, Mara akiingia mshkaji tulifanya biashara kaja kutulipia mzigo wa haja benki, aisee wakabakia na mshangao, maana ilimwagwa miburungutu ya pesa,
 
Iliwahi nitokea hii Tabora... nilikua bank akaingia huyo babu mchafu lakini alipoinua koti kuelekea kwa teller niliduwaa!!
 
Ulijukosesha kaz ya Usalama kijinga[emoji16][emoji38][emoji38]
Kuna siku nipo ktk hiace karume kuelekea home. Nimekaa ktk bansen burner. Ile kwanza nyuma ya dereva. Upepo mkali nikafunga kioo. Kuna jamaa alikuwa amekaa mbele yangu aliniuliza swali kuwa nina elimu gani?
Yaani umri wangu ulikuwa mdogo wa sekondari then aliniuliza lile swali.

Nikatafakari sana..kwamba umri huu nilitakiwa kuwa na elimu gani ili niweze kujibu kulingana na matakwa ya huyu ndezi. Kiukweli niliumizwa sana na zile dharau tena jamaa alikuwa mkubwa Sana ki umri. Niliamua kukaa kimya. Ila nilikuwa na hasira sana. Sijasahau ile dharau.
 
Ulijukosesha kaz ya Usalama kijinga[emoji16][emoji38][emoji38]
Sidhani, kwa miaka ile kazi ya usalama haipatikani kwa style ile wewe...jamaa alitaka nifungue kioo. Na ilibidi nifungue.
 
Hi tabia wanayo Sana watanzania, Kuna mwaka nilienda bank nipo rafurafu nilitokea kwenye pilika, Basi wengi walikuwa wanaweka vizuri mikoba yao ya pesa, walihisi jambazi au kibaka kaingia, Mara akiingia mshkaji tulifanya biashara kaja kutulipia mzigo wa haja benki, aisee wakabakia na mshangao, maana ilimwagwa miburungutu ya pesa,
Ukiwa kawaida watu wanakuona kama haupo sawa ila mwishowe ndio wanapata majibu halisi.
Wengi wanajua ukienda mjini lazima uoge na upendeze.
 
Back
Top Bottom