Bill of Quantity
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 1,233
- 406
Wabongo kwa roho za KWANINI
Diamond kwa hili anastahili pongezi kwa kweli
Sure, dogo kafanya mambo
am inspired...
Usidhani wanaopanga wote hawana nyumba... wapo wanaopanga huku wakiwa na nyumba za maana kuliko hizo walizopanga... wachumi wanacheza na opportunity cost! Ikiwa una nyumba unayoweza kupangisha kwa sh. 5 million wakato sokoni zinapatikana nyumba za kupanga zilizo standard kwa sh. 2 million, mchumi hawezi kuishi kwenye hiyo nyumba ya sh. 5 million badala yake ataipangisha, 3 million anaweka mfukoni, 2 million na yeye anaenda kuwa mpangaji wa nyumba ya mwenzake!
Usipolifahamu hili, hutakaa uje kuifahamu biashara... na hapo ndipo ilipo tofauti kati ya mfanyabiashara wa kawaida na mfanyiabiashara mchumi... SHITUKA JOMBAA!
Hiyo nyumba sio ya diamond mbona? Ni ya kinje ipo tegeta
Hahahahahaha uknw am proud of you le super staa Diamond..uknw lepwanya road lazima wachonge uknw..
Uknw watu wengi ambacho hawajui ni kuwa mimi ndio nilishauri kujenga nyumba ya hivi uknw...
Uknw hii ramini nimempa mimi na nikama ya sebule yangu uknw....
Hahahahahaha i love it
Wachawi mnajitahidi kuponda huku roho zinawaumaje,cc Kim nana Evelyn Salt
Hahahahahaha uknw am proud of you le super staa Diamond..uknw lepwanya road lazima wachonge uknw..
Uknw watu wengi ambacho hawajui ni kuwa mimi ndio nilishauri kujenga nyumba ya hivi uknw...
Uknw hii ramini nimempa mimi na nikama ya sebule yangu uknw....
Hahahahahaha i love it