Daimond Platnumz aonyesha muendelezo wa moja ya Nyumba zake

Daimond Platnumz aonyesha muendelezo wa moja ya Nyumba zake

10249087_437127579796502_2128877121_n.jpg

#DiamondPlatinumz "In my 70Million Pure Gold plated toillet...pupping and Movies Lol!😁..i can't wait to play dirty game with her tonight 🙈 IN THE MAKING OF STATE HOUSE!!!"

Dangote#dirtygames.jpg
 
Usidhani wanaopanga wote hawana nyumba... wapo wanaopanga huku wakiwa na nyumba za maana kuliko hizo walizopanga... wachumi wanacheza na opportunity cost! Ikiwa una nyumba unayoweza kupangisha kwa sh. 5 million wakato sokoni zinapatikana nyumba za kupanga zilizo standard kwa sh. 2 million, mchumi hawezi kuishi kwenye hiyo nyumba ya sh. 5 million badala yake ataipangisha, 3 million anaweka mfukoni, 2 million na yeye anaenda kuwa mpangaji wa nyumba ya mwenzake!

Usipolifahamu hili, hutakaa uje kuifahamu biashara... na hapo ndipo ilipo tofauti kati ya mfanyabiashara wa kawaida na mfanyiabiashara mchumi... SHITUKA JOMBAA!

Hiyo nyumba sio ya diamond mbona? Ni ya kinje ipo tegeta
 
Hahahahahaha uknw am proud of you le super staa Diamond..uknw lepwanya road lazima wachonge uknw..
Uknw watu wengi ambacho hawajui ni kuwa mimi ndio nilishauri kujenga nyumba ya hivi uknw...
Uknw hii ramini nimempa mimi na nikama ya sebule yangu uknw....
Hahahahahaha i love it

Una utani na babu???
 
Hahahahahaha uknw am proud of you le super staa Diamond..uknw lepwanya road lazima wachonge uknw..
Uknw watu wengi ambacho hawajui ni kuwa mimi ndio nilishauri kujenga nyumba ya hivi uknw...
Uknw hii ramini nimempa mimi na nikama ya sebule yangu uknw....
Hahahahahaha i love it

Duuuuh jamaa anaishi kma bebari jumba lote yeye 2.kali ya yote kachonga sofa size yke 2 kweli jamaa ana maakili mengi
 
Back
Top Bottom