Dakika 30 za kifo cha rais John F Kennedy.

Dakika 30 za kifo cha rais John F Kennedy.

the bold ndo mtaalamu wa mambo haya. sio lazima wote tusimulie. ingekuwa the bold hapo angeanzia chanzo cha hadi ye kuuwawa.
Wewe unatofauti gani na wale wafwasi wa Mange Instagram?wenye akili ya "unabisha nini wakati Mange kasema"
 
the bold ndo mtaalamu wa mambo haya. sio lazima wote tusimulie. ingekuwa the bold hapo angeanzia chanzo cha hadi ye kuuwawa.
We nae ni boga kweli mbona jamaa kasimulia vyema tu,,sio lazima upost comment kama hujafurahishwa si ukasome za huyo unaeona zinafaa au ndio kujipa sifa mchuzi wakati hakuna kitu ,,,,watu wengine bana
Cc Iceman 3D Daby
 
f809e961aa32cf583ef74bf112664fad.jpg

Yaani ukisoma hiyo profile yake utajua tatizo la huyo jamaa. Msameheni bure ni mgeni huku JF taratibu atazoea kuwa huku sio Facebook
 
Wewe unatofauti gani na wale wafwasi wa Mange Instrgram?wenye akili ya "unabisha nini wakati Mange kasema"
Haha huyu jamaa mmsamehee tu..

Kalishwa limbwata la ushabiki hadi anaona watu wengine ni maboya
We nae ni boga kweli mbona jamaa kasimulia vyema tu,,sio lazima upost comment kama hujafurahishwa si ukasome za huyo unaeona zinafaa au ndio kujipa sifa mchuzi wakati hakuna kitu ,,,,watu wengine bana
Cc Iceman 3D Daby
 
Hii na ile ya The bold ni Moja. Ila hii imefanyiwa summarized kidogo. Kuna tetesi kuwa hii ni kazi ya The bold ambayo imeibiwa na kuletwa hapa. Btw ahsante kwa kushare na sisi
 
Jf si unajua ina member 10 tu inasemekana eti hahahahaha
[emoji3][emoji3] crazy nipo zangu kule kwangu wacha nikuache huku...au nishike mkono twende wote usije ukapigwa humu maana nitauua mutu
 
Haha huyu jamaa mmsamehee tu..

Kalishwa limbwata la ushabiki hadi anaona watu wengine ni maboya
Tanganyika vizazi vya kuhoji hakuna kuna vizazi vya kugawa sifa za kulevya tu "unabisha nini wakati........... kasema" Following million 1 IG hakuna hata wa kuhoji wako busy kugawa sifa za kulevya tu
 
Tanganyika vizazi vya kuhoji hakuna kuna vizazi vya kugawa sifa za kulevya tu "unabisha nini wakati........... kasema"
Haha... ameshaamini hiyo ndiyo authoritative source yake
 
Back
Top Bottom