middle east
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,308
- 1,690
Poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia misukule mingine hii, yaani The bold ndio anajua kila kitu peke yake. Hujui kuwa kila mtu ana usimuliaji wake. Roho mbaya tu.
Sio roho mbaya huyu jamaa kachkua kazi ya The bold na amekuja kuibandika hapa. The bold melalamika sana soma hapa:
Utata Juu ya Kifo Cha Rais JF Kennedy
Acha roho mbaya, na utamalizia habari nzima PMPlagiarism
Wewe unatofauti gani na wale wafwasi wa Mange Instagram?wenye akili ya "unabisha nini wakati Mange kasema"the bold ndo mtaalamu wa mambo haya. sio lazima wote tusimulie. ingekuwa the bold hapo angeanzia chanzo cha hadi ye kuuwawa.
We nae ni boga kweli mbona jamaa kasimulia vyema tu,,sio lazima upost comment kama hujafurahishwa si ukasome za huyo unaeona zinafaa au ndio kujipa sifa mchuzi wakati hakuna kitu ,,,,watu wengine banathe bold ndo mtaalamu wa mambo haya. sio lazima wote tusimulie. ingekuwa the bold hapo angeanzia chanzo cha hadi ye kuuwawa.
Khaa kumbe nakos mambo mazur nami natak uniadd huk kwa group lak the boldAliyepost huu uzi hajafanya uungwana kuweka andishi langu humu bila kuniomba...
Nimeweka uzi kamili huu hapa chini
Utata Juu ya Kifo Cha Rais JF Kennedy
Haha huyu jamaa mmsamehee tu..Wewe unatofauti gani na wale wafwasi wa Mange Instrgram?wenye akili ya "unabisha nini wakati Mange kasema"
Hahahaha kabisa utafikiri huyo anaemsema alikuwepo siku anakufa kennedy ndio akasimuliaHaha huyu jamaa mmsamehee tu..
Kalishwa limbwata la ushabiki hadi anaona watu wengine ni maboya
Dina JF kichaka lakini unaweza kuta Daby ni dina na dina ni Daby . Sijui unanielewa!Hahahaha kabisa utafikiri huyo anaemsema alikuwepo siku anakufa kennedy ndio akasimulia
Jf si unajua ina member 10 tu inasemekana eti hahahahahaDina JF kichaka lakini unaweza kuta Daby ni dina na dina ni Daby . Sijui unanielewa!
[emoji3][emoji3] crazy nipo zangu kule kwangu wacha nikuache huku...au nishike mkono twende wote usije ukapigwa humu maana nitauua mutuJf si unajua ina member 10 tu inasemekana eti hahahahaha
Yeah inafikirisha sana[emoji41]
Tanganyika vizazi vya kuhoji hakuna kuna vizazi vya kugawa sifa za kulevya tu "unabisha nini wakati........... kasema" Following million 1 IG hakuna hata wa kuhoji wako busy kugawa sifa za kulevya tuHaha huyu jamaa mmsamehee tu..
Kalishwa limbwata la ushabiki hadi anaona watu wengine ni maboya
Haha... ameshaamini hiyo ndiyo authoritative source yakeTanganyika vizazi vya kuhoji hakuna kuna vizazi vya kugawa sifa za kulevya tu "unabisha nini wakati........... kasema"