DAKIKA 5 BAADA YA CARBON MONOXIDE ALARM FIRE WAMEFIKA. KWETU BONGO MPAKA TUNGEKUFA HAWAJAFIKA..

DAKIKA 5 BAADA YA CARBON MONOXIDE ALARM FIRE WAMEFIKA. KWETU BONGO MPAKA TUNGEKUFA HAWAJAFIKA..

exit

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2013
Posts
1,670
Reaction score
1,808
Pesa za uchaguzi wa marudio tuwekeze kwenye team za majanga ya dharula kwakweli..
IMG_20181008_135452.jpeg
IMG_20181008_135530.jpeg
 
North Myrtle Beach is in the building. Hapo Kuna visiwa fulani vimetulia sana.

Nilipata kuvinjari miaka kadhaa nyuma.
Nakula upepo kidogo. Visiwa ni East and North Myrtle Beach.
 
Watu wapo serious na maisha, huwezi jua kama kulikuwa ovyo 2weeks ago. Kuko safi kabisa
Wamemaliza kusafisha baada ya hurricane au hamjapata kichapo sana huko?
 
Watu wapo serious na maisha, huwezi jua kama kulikuwa ovyo 2weeks ago. Kuko safi kabisa
That's what's up.

North America na Europe watu wanajua wana small window ya weather, wakichelewa kidogo ma fall weather sijui ma winter schedule yanaingilia, inabidi waende fast.

Kule kwetu tuna jua zuri karibu mwaka mzima tunaona habari za "I will get to it tomorrow" kwa sana.

Hiyo carbon monoxide unayoisema wewe watu wanaibugia kila siku. Mpaka miili inaikubali tu kuwa kama hewa safi, damu inabadilika. Kudaadadeki.

Ukiwa na jiko la mkaa unapikia ndani tu, maana yake unabugia carbon monoxide.

Charcoal-burning suicide - Wikipedia

Mkaa unatoa carbon monoxide.

Halafu hatuna carbon monoxide alarms walafire alarms tunapeta.

Fire brigade mpaka litoke airport au bandarini.

Na tunaongeza Dreamliner na Bombardier hapo hapo.

Na ukitaka kununua nyumba Mbezi Beach ambako hakuna Fire Brigade bei kama Long Island.

Pia wenzetu wanachukulia maafa seriously. Nakumbuka one time niko Orlando vacation, tumefurumushwa hoteli nzima tutoke nje, kisa fire alarm.

Tukatoka nje wote, fire brigade wakaja kama dakika 15 wakaondoka, tukaendelea. Kwetu huko mtu anaweza kukaidi tu alarm akaizima, akaona inazingua, mpaka jengo linaungua.
 
Ninatamani sana kuja kuvuta hewa ya mambele huko, na kulapo bata kidogo

Ngoja nitafute pessa,, oneDAYyes
 
Usikate tamaa keep it up, one day yes.
Ninatamani sana kuja kuvuta hewa ya mambele huko, na kulapo bata kidogo

Ngoja nitafute pessa,, oneDAYyes
 
Kiranga karibu bongo,
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Naona unatuhenyeshaa,

Nchi yetu changa bhanaa!!
That's what's up.

North America na Europe watu wanajua wana small window ya weather, wakichelewa kidogo ma fall weather sijui ma winter schedule yanaingilia, inabidi waende fast.

Kule kwetu tuna jua zuri karibu mwaka mzima tunaona habari za "I will get to it tomorrow" kwa sana.

Hiyo carbon monoxide unayoisema wewe watu wanaibugia kila siku. Mpaka miili inaikubali tu kuwa kama hewa safi, damu inabadilika. Kudaadadeki.

Ukiwa na jiko la mkaa unapikia ndani tu, maana yake unabugia carbon monoxide.

Charcoal-burning suicide - Wikipedia

Mkaa unatoa carbon monoxide.

Halafu hatuna carbon monoxide alarms walafire alarms tunapeta.

Fire brigade mpaka litoke airport au bandarini.

Na tunaongeza Dreamliner na Bombardier hapo hapo.

Na ukitaka kununua nyumba Mbezi Beach ambako hakuna Fire Brigade bei kama Long Island.

Pia wenzetu wanachukulia maafa seriously. Nakumbuka one time niko Orlando vacation, tumefurumushwa hoteli nzima tutoke nje, kisa fire alarm.

Tukatoka nje wote, fire brigade wakaja kama dakika 15 wakaondoka, tukaendelea. Kwetu huko mtu anaweza kukaidi tu alarm akaizima, akaona inazingua, mpaka jengo linaungua.
 
Nice!

Firefighters and other first responders are revered in the US.

In Tanzania? They are pitiful!
 
Kiranga karibu bongo,
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Naona unatuhenyeshaa,

Nchi yetu changa bhanaa!!
Nchi yetu changa my foot.

Tunaifukuza miaka 57 ya uhuru, hapo sihesabu kabla ya uhuru.

Juzi jengo limepata moto Dar ni aibu tupu, tena bahati ghorofa za chini.

Siku kitu kikiita ghorofa ya 20 sijui itakuwaje hapo.hi kwa kupenda kutegemea kudra sana.

Tunais
 
Back
Top Bottom