Dakika ya 24 tayari Bravos anaongoza mabao 2 0, Simba ihakikishe inashinda ugenini na haipotezi mchezo kama inahitaji kuvuka group stage

Dakika ya 24 tayari Bravos anaongoza mabao 2 0, Simba ihakikishe inashinda ugenini na haipotezi mchezo kama inahitaji kuvuka group stage

Joined
Nov 27, 2024
Posts
43
Reaction score
127
Ngoma ngumu ; waangola wako vizuri sana kuliko mategemeo yetu, wako kwao na wanajua kutumiia uwanja wa kwao, hadi sasa washamtandika Constantine mabao 2 0 na wanashambulia kama nyuki, Bravos akimfunga Simba na Sfxien ameshafuzu tayari, na kwa namna anavyocheza uwezo huo anao, mechi moja tu amebakiza nyumbani ambayo ni vs Simba, baada ya hapo aataenda kwa Constantine na ataenda kwa Sfxien.

Constantine naye anamsubiria Bravos kwake amchukulie pointi 3, anamsubiria Sfxien amchukulie point 3 pia.

Tukifanya mzaha tusipocheza vizuri Tunisia na kule Angola basi tutashindwa kufuzu, njia pekee ni kuhakikisha dirisha dogo tunasajili wachezaji wa ukweli vinginevyo aibu itatukuta.Constantine na Bravos wanaweza kufuzu kundi hili kimahesabu
 
Hao bravo ndio tunawataka sasa hiyo kasi iyo siku hutaiona
 
Mi kuna watu niliwaambia mapema Simba itakufa kwa Bravoz na inaweza kuishia pointi 8 tu
 
Ngoma ngumu ; waangola wako vizuri sana kuliko mategemeo yetu, wako kwao na wanajua kutumiia uwanja wa kwao, hadi sasa washamtandika Constantine mabao 2 0 na wanashambulia kama nyuki, Bravos akimfunga Simba na Sfxien ameshafuzu tayari, na kwa namna anavyocheza uwezo huo anao, mechi moja tu amebakiza nyumbani ambayo ni vs Simba, baada ya hapo aataenda kwa Constantine na ataenda kwa Sfxien.

Constantine naye anamsubiria Bravos kwake amchukulie pointi 3, anamsubiria Sfxien amchukulie point 3 pia.

Tukifanya mzaha tusipocheza vizuri Tunisia na kule Angola basi tutashindwa kufuzu, njia pekee ni kuhakikisha dirisha dogo tunasajili wachezaji wa ukweli vinginevyo aibu itatukuta.Constantine na Bravos wanaweza kufuzu kundi hili kimahesabu
Yaani jaa wanaongoza kwa magoli ishirini?
 
Yanga ya club bingwa inaingiaje Shirikisho.Usiitaje Yanga kwemye mashindano madogo
Ngombe wewe kumbe hunijui.oya weee simba huko k bingwa ndo maskani yake.
Yanga kaingia cha kike ndo maana kule wanajitombia 2
 
Ngoma ngumu ; waangola wako vizuri sana kuliko mategemeo yetu, wako kwao na wanajua kutumiia uwanja wa kwao, hadi sasa washamtandika Constantine mabao 2 0 na wanashambulia kama nyuki, Bravos akimfunga Simba na Sfxien ameshafuzu tayari, na kwa namna anavyocheza uwezo huo anao, mechi moja tu amebakiza nyumbani ambayo ni vs Simba, baada ya hapo aataenda kwa Constantine na ataenda kwa Sfxien.

Constantine naye anamsubiria Bravos kwake amchukulie pointi 3, anamsubiria Sfxien amchukulie point 3 pia.

Tukifanya mzaha tusipocheza vizuri Tunisia na kule Angola basi tutashindwa kufuzu, njia pekee ni kuhakikisha dirisha dogo tunasajili wachezaji wa ukweli vinginevyo aibu itatukuta.Constantine na Bravos wanaweza kufuzu kundi hili kimahesabu
Yamerudishwa
 
Back
Top Bottom