FirstClass
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,100
- 1,363
- Thread starter
- #21
Huyu jamaa pia namuelewaga sana!! Anajua sana aiseeP the mc nilimuelewa sana. Michano yake niliwezakusikiliza na wanangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa pia namuelewaga sana!! Anajua sana aiseeP the mc nilimuelewa sana. Michano yake niliwezakusikiliza na wanangu.
Ebwana chuma alitisha...Chuma alitisha.
Anakuambia chini.Ebwana chuma alitisha...
Mimi ndio ilikuwa mara ya kwanza kumtia machoni,alinifurahisha sana.
1.Roho saba,huyu jamaa alikua na fleva ya aina yake na Amonia producr(Haber process) ndo key yakeNaelewa uwepo wa ndugu zetu ambao hamtaelewa (Mtatoka Weupe) katika mada hii. Niwaambie tu ya kwamba, Legezeni vichwa.
Kuhusu topic..
Ni perfomance zipi unazielewa zaidi na ungependa wahusika siku za mbeleni warudi tena..
Kwa upande wang..
1-One The Incredible na Roza Lee
Hawa jamaa inabidi wafanye kazi ya pamoja. Wote wana sub-etra element za kuchana KiTrump..
2- Dizasta.
Ile Bit ya Kanisa aloimbia mule ilikuwa poa sana tofauti na bit yake orignal. Namshaur Kanisa aifanyie remix kwa M'bit uleee.
3-Nikki mbishi na Maarifa the Big Thinker
Kwenye frestyle Mbishi anakwambia 'Police niachie niende mwanangu takupa rushwaa'. Nikki humu alikaza toka line ya kwanza..
Twende na top3 zako..
Tuko pamoja hivi1.Roho saba,huyu jamaa alikua na fleva ya aina yake na Amonia producr(Haber process) ndo key yake
2.Songa huyu jamaa huwa siwez kumuelezea yan
3.Mwisho namaliza na stopper the rymth maker NUKTA
"Siku hizi usela kazi... Ukiishi usela bila hela unaishi usela mavi".Pedeshee nasikia siku hizi mapenz pesa , Honga gari sasa utamkuta bitozi analiendesha...
Sema Boshooo Ninjaaaa! Huyu jamaaa ni moto wa kuotea mbali.
"Boshoo anglicana kama Tanga kuna Roma"
Noma sana huyu jamaa