Mnyatiaji
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 3,728
- 4,817
๐๐๐๐Film gani za action mbona inasemwa alikuwa star wa ngono?View attachment 1833447
Au ngono siku hizi nayo imekuwa filamu za mapigano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐Film gani za action mbona inasemwa alikuwa star wa ngono?View attachment 1833447
Au ngono siku hizi nayo imekuwa filamu za mapigano.
OHOO! WENYE PESA ZAO WASHAVUNJA MKATABA..Mwigizaji wa filamu nchini marekani Lauren Kaye Scott, almaarufu DAKOTA SKYE amekutwa amefariki nyumbani kwake Los Angeles marekani.
Mwili wa Dakota Skye umekutwa Kwenye gereji ndani ya nyumba yake ukiwa umeharibika Sana.
Chanzo Cha kifo chake mpaka Sasa hakijafahamika na uchunguz bado unaendelea.
Ila taarifa za awali zinaonyesha mwili unazaidi ya wiki nzima tangu alipofariki Dunia.
KWA KIFUPI,
Dakota Skye alizaliwa April 17, 1994
Mpaka umauti unamkuta alikua tayar keshatimiza miaka 27.
Ameshiriki filamu za action zaidi ya 300 kuanzia mwaka 2013 mpaka mauti yalipomfika.
R.i.p DAKOTA SKYE,
Ni pigo kubwa sana,
Majonzi, vilio na simanzi kwenye viunga vyote vya Pollywood marekani na mashabiki wote duniani kote.[emoji26]
KIPAJI KIMEPOTEA[emoji3525]View attachment 1833420
View attachment 1833421
Mkuu hii chai imezidi sukariHuyu Dakota Skye / Dakota Sykes ana undugu na Wanasiasa maarufu na wapigania Uhuru wa Tanganyika Ally Sykes na Abdulwahid Sykes.
Wote hao ni Watoto wa Kleist Sykes mwanamgambo aliyetoka South Afrika na kuwa mpigania Uhuru wa Tanganyika miaka hiyo.
Ila yeye Dakota alipoenda USA akabaki kule, Mara kwa mara Ally Sykes amekuwa akimtembelea Dada yake kabla ya yeye kutangulia mbele za haki.
Inna llilahiwainaillahi rajiun
R.I.P Dakota
Sio chai Mkuu, muulize Mohamed Said au FaizaFoxy walikuwa pamoja pale eneo la GerezaniMkuu hii chai imezidi sukari
Yupo bongo hii,ana harakati za elimu na ni mke wa Lazaro NyalanduHivi faraja kota yupo wapi jamani?
Naunga mkono hoja,Sio chai Mkuu, muulize Mohamed Said au FaizaFoxy walikuwa pamoja pale eneo la Gerezani
Ni mke wa NyalanduHivi faraja kota yupo wapi jamani?
Hii ina maana amet.mb.. mbele ya kamera mara 3 kila mwezi au?Kuanzia mwaka 2013 mpk 2021 Ni miaka Zaid ya 8 imepita.
Kwa kushiriki movie Zaid ya 300
Ni wastani wa movie 37 kila mwaka.
Whichi is reasonably very possible.
Usikute ni abuse drugsPuuza huo uzushi,
Uchunguz wa kifo chake bado unaendelea.
hii nayo ni action pia๐๐๐๐Film gani za action mbona inasemwa alikuwa star wa ngono?View attachment 1833447
Au ngono siku hizi nayo imekuwa filamu za mapigano.
Naangalia kawaida TU Kwenye Tv na kusikiliza Redio Kama wewe unavyosikiliza Taarifa ya habari kule TBC Fm na AZAM TV.Hivi mkuu DeepPond hizi taarifa za hii tasnia ni unakuwa na source zako makini unasubscribe au? Maana uko deep sana na hizi mambo[emoji2]
Ndio,Hii ina maana amet.mb.. mbele ya kamera mara 3 kila mwezi au?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app