Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekosa chakuuliza aise😃😃🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
I love how umetulia zako na Majibu.
Very relaxed and composed.
Kwa Dully huyu ni shangaziAtakuwa na undugu na Dully Skyes pamoja na Dakota wa Clouds.
Dah....hajasema za mapigano....kasema za action....usichanganye [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]Film gani za action mbona inasemwa alikuwa star wa ngono?View attachment 1833447
Au ngono siku hizi nayo imekuwa filamu za mapigano.
Dah....kwa muvi hizi zisizozidi nusu saa inawezekana kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuanzia mwaka 2013 mpk 2021 Ni miaka Zaid ya 8 imepita.
Kwa kushiriki movie Zaid ya 300
Ni wastani wa movie 37 kila mwaka.
Whichi is reasonably very possible.
Hapo zimechapwa code tu[emoji16]Film gani za action mbona inasemwa alikuwa star wa ngono?View attachment 1833447
Au ngono siku hizi nayo imekuwa filamu za mapigano.
Lazima.Nimekosa chakuuliza aise😃😃
Zamani nilijua mtu akiitwa mohamed, ramadhani, iddy, luka, joseph, isaka au ibrahimu ni hatari maana hao wana undugu kabisa na wale manabij walioandikwa kwenye vitabu vitakatifu..Huyu Dakota Skye / Dakota Sykes ana undugu na Wanasiasa maarufu na wapigania Uhuru wa Tanganyika Ally Sykes na Abdulwahid Sykes.
Wote hao ni Watoto wa Kleist Sykes mwanamgambo aliyetoka South Afrika na kuwa mpigania Uhuru wa Tanganyika miaka hiyo.
Ila yeye Dakota alipoenda USA akabaki kule, Mara kwa mara Ally Sykes amekuwa akimtembelea Dada yake kabla ya yeye kutangulia mbele za haki.
Inna llilahiwainaillahi rajiun
R.I.P Dakota