Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kauongo hakaHuyu Dakota Skye / Dakota Sykes ana undugu na Wanasiasa maarufu na wapigania Uhuru wa Tanganyika Ally Sykes na Abdulwahid Sykes.
Wote hao ni Watoto wa Kleist Sykes mwanamgambo aliyetoka South Afrika na kuwa mpigania Uhuru wa Tanganyika miaka hiyo.
Ila yeye Dakota alipoenda USA akabaki kule, Mara kwa mara Ally Sykes amekuwa akimtembelea Dada yake kabla ya yeye kutangulia mbele za haki.
Inna llilahiwainaillahi rajiun
R.I.P Dakota
unga noma !Mwigizaji wa filamu nchini marekani Lauren Kaye Scott, almaarufu DAKOTA SKYE amekutwa amefariki nyumbani kwake Los Angeles marekani.
Mwili wa Dakota Skye umekutwa Kwenye gereji ndani ya nyumba yake ukiwa umeharibika Sana.
Chanzo Cha kifo chake mpaka Sasa hakijafahamika na uchunguz bado unaendelea.
Ila taarifa za awali zinaonyesha mwili unazaidi ya wiki nzima tangu alipofariki Dunia.
KWA KIFUPI,
Dakota Skye alizaliwa April 17, 1994
Mpaka umauti unamkuta alikua tayar keshatimiza miaka 27.
Ameshiriki filamu za action zaidi ya 300 kuanzia mwaka 2013 mpaka mauti yalipomfika.
R.i.p DAKOTA SKYE,
Ni pigo kubwa sana,
Majonzi, vilio na simanzi kwenye viunga vyote vya Pollywood marekani na mashabiki wote duniani kote.[emoji26]
KIPAJI KIMEPOTEA[emoji3525]View attachment 1833420
View attachment 1833421
View attachment 1833422
Na ndio ukweli huo, 6x6 tuKuanzia 2013 hadi 2021 awe meshacheza movie 300 za action! Labda action za 6x6.
Mbona kaoa ama ndio yaliyomo yamo. Ila yule ni mpunga wa kiswele hasa maana daah.Mchele mchele
Hiki kichwa nilianza kukikubali kule jlw kwenye chimbo la mitaa ya madada poa wanaojiuza daaahWe fala kama ni cheo, wewe umefikia level za Field Marshall. Una juhudi sana kwenye kufuatilia hii game.
Majibu yako sasa, yako na all necessary scientific evidence, statistical data, and undoubted proof. Shenzi kabisa!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
huo uzushi tu mkuuView attachment 1835173
Huyu mtoa mada ni mpenzi wa pornograf ndio maana anajua mastaa wote.asitudanganye kuwa alicheza sinema 300 wakati video za ngono 300
Kafa mdogo sanaMwigizaji wa filamu nchini marekani Lauren Kaye Scott, almaarufu DAKOTA SKYE amekutwa amefariki nyumbani kwake Los Angeles marekani.
Mwili wa Dakota Skye umekutwa Kwenye gereji ndani ya nyumba yake ukiwa umeharibika Sana.
Chanzo Cha kifo chake mpaka Sasa hakijafahamika na uchunguz bado unaendelea.
Ila taarifa za awali zinaonyesha mwili unazaidi ya wiki nzima tangu alipofariki Dunia.
KWA KIFUPI,
Dakota Skye alizaliwa April 17, 1994
Mpaka umauti unamkuta alikua tayar keshatimiza miaka 27.
Ameshiriki filamu za action zaidi ya 300 kuanzia mwaka 2013 mpaka mauti yalipomfika.
R.i.p DAKOTA SKYE,
Ni pigo kubwa sana,
Majonzi, vilio na simanzi kwenye viunga vyote vya Pollywood marekani na mashabiki wote duniani kote.[emoji26]
KIPAJI KIMEPOTEA[emoji3525]View attachment 1833420
View attachment 1833421
View attachment 1833422
huo uzushi tu mkuu